sungura1980
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 1,909
- 1,225
Hivi washabiki wa Yanga bado wanamatumaini ya kupata Ubingwa??
Ndio,,mpaka mechi ya mwisho fulimbi ya mwisho ya kumaliza mpira ndio tutakata tamaa
Hivi washabiki wa Yanga bado wanamatumaini ya kupata Ubingwa??
goooooooo kagera wanapata kamoja du
we mkuda~nenda tbc kakamate ajira....
tatizo nini mkuu,kagera wamefunga goli kwa uzembe wa beki wetu joshua,mie nimeripoti wewe hutaki,mie yanga lakini lazima nilipoti ukweli,ama hujui unenalo mkuu
nawashangaaa kwelikweli
ubingwa uleeeeeeeeee
Hatujazoea kabisa ushindi wa hivi,any way sio mbaya.
Ndio,,mpaka mechi ya mwisho fulimbi ya mwisho ya kumaliza mpira ndio tutakata tamaa
Dah kama vipi game ihamishiwe chamanzi tu mbona tunacheleweshewa ubingwa?