Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,023
- 13,370
Nimeongea na wachezaji wa kagera wamesema mambumbumbu fc hawachomoki leo.
bado bila bila
Wanazi wa Simba wameikimbia timu leo.
Simba 1-0,pazi jrLeo ndio tutahakikisha kama huyu mnyama simba, ni mla nyama au mla chips-mayai!
Simba 1- 2 Kagera Sugar.
shoga mvuta bangi kupitia mas.aburi.kafie mbele
Tunasubiri kumfunga Yanga.
Kiukweli kuna saa nafikiria kuachana na ushabiki wa hizi timu zetu! Simba inaninyima raha kiukweliiii. Sio ajabu Tukalambishwa sukati leo