Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Sasa kama uwezo wao mdogo je? Kwanza atakae shangaa Simba kufungwa na Azam atakua na matatizo ktk mfumo wake wa akili, sababu haiingii akilini tuweze kumfunga wakati wa kwenda tushindwe wakati wa kurudi.

Wewe subiri mechi ianze, siku ile kwa Yanga mlipona kimiujiza leo lazima mkalishwe chini.
 
Sasa kama uwezo wao mdogo je? Kwanza atakae shangaa Simba kufungwa na Azam atakua na matatizo ktk mfumo wake wa akili, sababu haiingii akilini tuweze kumfunga wakati wa kwenda tushindwe wakati wa kurudi.

Kweli simba tumedhalaulika...
 
Kikosi cha Simba SC
1. Ivo
2. Willium
3. Rashid
4. Musoti
5. Owino
6. Mkude
7. Chanongo
8. Henry
9. Tambwe
10. Uhuru
11. Singano
SUB: berko, chollo, humud, awadh, chombo, badru na twaha
Umeyapata wapi? hivi Cholo hajapona tu....
 
Pointi 6 hizi ni tamu zaidi ya zote kwa SSC. 3 kutoka Azam na zingine 3 kutoka Jangwani.Tunajua wengine watawaomba radhi wapenzi wao! lakini wengine watajipongeza kwa usemi tumekufa 'kiume'.Mnyama ni mnyama.

Mbona kitufe cha like sikioni?
 
Hapa naona sura ni za wachezaji wa timu ya Simba miaka ile, lakini hizi jezi mbona rangi siielewi elewi, hivi Simba ilishawahi kutumia jezi ya rangi nyingine tofauti na Nyekundu na Nyeupe? CC: Makoye Matale, Crashwise, brave one, Saint Ivuga, ACCOUNT FULL na wadau wengine wa jukwaa hili.

 
Last edited by a moderator:
mnyama leo anakuja mjini anakunywa juice alafu anarudi porini
kama kawa kama dawa simba ushindi muhimu
 
Huku watoto wa jiji,watoto wanaokukimbiza dak 90,watoto waliozua gumzo ligi kuu MBEYA CITY wakiendeleza mambo yao pale Mbeya.Viva mbeya cty,yanga sare leo,Azam leo anakula vyake 2.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…