Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Munasemaga hivyo hivyo mwisho wa picha munatoka nduki. Leo lazima tutangaze ubingwa kwa mara ya kwanza ktk historia ya soka la Tanzânia.

Ubingwa upi huo? Labda wa lile kombe lenu la uhai.. yanga raha
 
Simuoni MANDIETA simuoni MAKOYE MATALE wala ACOUNT FULL hii inamaanisha kua wanajua kitakacho tokea hapo Uwanja wa TAIFA hivyo wameamua kujificha kuepukana na haibu hiyo.
 
Jamani kandambili wanakalia sasa hivi hapa!

kandambili wanakosa goli hapa! mwantika anaokoa hapa
 
Simuoni MANDIETA simuoni MAKOYE MATALE wala ACOUNT FULL hii inamaanisha kua wanajua kitakacho tokea hapo Uwanja wa TAIFA hivyo wameamua kujificha kuepukana na haibu hiyo.

Tatizo thread haina mvuto,mabingwa wa TZ utawafichaje huku!
 
Back
Top Bottom