Updates: UDIWANI Mianzini Mpambano ni CCM Vs CUF

MAFILILI

JF-Expert Member
Apr 28, 2011
2,377
1,194
Kampeni za udiwani wa kata ya Mianzini, Mbagala wilayani Temeke zimeingia katika hatua nzuri huku vyama viwili vikionekana kupambana kikamilifu HATAHIVYO dalili zinaonyesha mgombea wa CCM mmiliki wa Scorpion Bar ataibuka kidedea kutokana na kukubalika miongoni wa wapiga kura wa eneo husika. Wakati huohuo mgombea wa CHADEMA amekata tamaa kwa vile leo ni siku ya pili hajaonekana katika kampeni. Tetesi ni kuwa ameamua kuingia mitini baada ya kutoswa na uongozi wa wilaya ambao unadai haupati ushirikiano kutoka uongozi wa Chadema mkoa na taifa. Poleni wafuasi na wakereketwa wa Chadema, jahazi linazama, njooni mliokoe!!!
 
chadema ni mwamba wa kaskazini tu.
Duh, kwenye CSEE ya 2012 somo la Jiografia ulipata ngapi? Yaani Kigoma Kaskazini, Maswa Mashariki, Maswa Magharibi, Ubungo, Kawe, Mbeya Mjini, Iringa Mjini, Ilemela, Nyamagana, Singida, etc. vyote hivi viko Kaskazini? Au ni Kaskazini mwa Kusini, Magharibi na Mashariki mwa Tanzania? Pamoja na matokeo yenu kurekebishwa na Magamba bado uelewa wako uko kama wa kitoto cha Kindergarten!!!!!!!!
 
Hahahahaaaaaaa. MAFILILIiiiiiiiiiiiiiii. Yani heading inaitaja ccm na mwandani wenu cuf lakini content hakuna mahali popote inapotajwa na badala yake umekitaja chama cha ukweli Chadema. Tunajua mnashirikiana na mwandani wenu kuendesha siasa za kidini mianzini lakini Chadema tuko imara na makini kukabiliana na hila zenu zote.

Kata ya Mianzini tumeshaichukua tunasubiri tu tarehe 16/06 kukabidhiwa cheti cha ushindi.
 
Last edited by a moderator:
Kampeni za udiwani wa kata ya Mianzini, Mbagala wilayani Temeke zimeingia katika hatua nzuri huku vyama viwili vikionekana kupambana kikamilifu HATAHIVYO dalili zinaonyesha mgombea wa CCM mmiliki wa Scorpion Bar ataibuka kidedea kutokana na kukubalika miongoni wa wapiga kura wa eneo husika. Wakati huohuo mgombea wa CHADEMA amekata tamaa kwa vile leo ni siku ya pili hajaonekana katika kampeni. Tetesi ni kuwa ameamua kuingia mitini baada ya kutoswa na uongozi wa wilaya ambao unadai haupati ushirikiano kutoka uongozi wa Chadema mkoa na taifa. Poleni wafuasi na wakereketwa wa Chadema, jahazi linazama, njooni mliokoe!!!
Kabla hatujaja kuokoa, kule Mtwara umeshaenda kuyaokoa Magamba? Nasikia kule hamkusimamisha wala kukalisha mgombea udiwani, mmeamua kuingia uvunguni bora sisi tumeingia mitini ambako tunaonekana hata mchana kweupe!!
 
Hahahahaaaaaaa. MAFILILIiiiiiiiiiiiiiii. Yani heading inaitaja ccm na mwandani wenu cuf lakini content hakuna mahali popote inapotajwa na badala yake umekitaja chama cha ukweli Chadema. Tunajua mnashirikiana na mwandani wenu kuendesha siasa za kidini mianzini lakini Chadema tuko imara na makini kukabiliana na hila zenu zote.

Kata ya Mianzini tumeshaichukua tunasubiri tu tarehe 16/06 kukabidhiwa cheti cha ushindi.

Mwita kuwa mkweli usipende kuwadanganya wana Chadema waliopo nje ya Mianzini. Uhalisia ni kuwa wafuasi wa Chadema mnaendeshea siasa KAKONKO Bar kila siku wakati CCM na CUF wanaendelea na mikutano ya kampeni
 
kuanzia jana na kuendelea ni kampeni ya mtu kwa mtu hadi kieleweke. viva cdm
 
Hahahahaaaaaaa. MAFILILIiiiiiiiiiiiiiii. Yani heading inaitaja ccm na mwandani wenu cuf lakini content hakuna mahali popote inapotajwa na badala yake umekitaja chama cha ukweli Chadema. Tunajua mnashirikiana na mwandani wenu kuendesha siasa za kidini mianzini lakini Chadema tuko imara na makini kukabiliana na hila zenu zote.

Kata ya Mianzini tumeshaichukua tunasubiri tu tarehe 16/06 kukabidhiwa cheti cha ushindi.

Mkuu asante sana kwa habari hii kwani nilianza kulia... sasa nafuta machozi.
 
Last edited by a moderator:
Mwita uongozi wako wa wilaya, mkoa na taifa haijachukulia uzito uchaguzi katika kata ya Mianzini, mmeshindwa hata kulipia matangazo kwa kutumia usafiri wa bodaboda??? Ruzuku yote imepelekwa Kaskazini, pia hapa DSM upendeleo upo kwa maeneo ya wilaya ya Kinondoni huku Temeke na Ilala wakikosa fedha za ruzuku
 
Kampeni za udiwani wa kata ya Mianzini, Mbagala wilayani Temeke zimeingia katika hatua nzuri huku vyama viwili vikionekana kupambana kikamilifu HATA HIVYO dalili zinaonyesha mgombea wa CCM mmiliki wa Scorpion Bar ataibuka kidedea kutokana na kukubalika miongoni wa wapiga kura wa eneo husika. Wakati huohuo mgombea wa CHADEMA amekata tamaa kwa vile leo ni siku ya pili hajaonekana katika kampeni. Tetesi ni kuwa ameamua kuingia mitini baada ya kutoswa na uongozi wa wilaya ambao unadai haupati ushirikiano kutoka uongozi wa Chadema mkoa na taifa. Poleni wafuasi na wakereketwa wa Chadema, jahazi linazama, njooni mliokoe!!!

Mgombea wa CCM anaitwa Athuman Bawji Mbwana.
 
Kampeni za udiwani wa kata ya Mianzini, Mbagala wilayani Temeke zimeingia katika hatua nzuri huku vyama viwili vikionekana kupambana kikamilifu HATAHIVYO dalili zinaonyesha mgombea wa CCM mmiliki wa Scorpion Bar ataibuka kidedea kutokana na kukubalika miongoni wa wapiga kura wa eneo husika. Wakati huohuo mgombea wa CHADEMA amekata tamaa kwa vile leo ni siku ya pili hajaonekana katika kampeni. Tetesi ni kuwa ameamua kuingia mitini baada ya kutoswa na uongozi wa wilaya ambao unadai haupati ushirikiano kutoka uongozi wa Chadema mkoa na taifa. Poleni wafuasi na wakereketwa wa Chadema, jahazi linazama, njooni mliokoe!!!

MAFILILI jifunze kuepuka aibu za kujitakia na kujidhalilisha waziwazi.nadhani hii ni kwa sababu watu wengi tunatumia ID ambazo si majina yetu halisi.vinginevyo ingelikuwa aibu hata usingeweza kupita hata mitaani kwa sababu ya kujiabisha kwa kusema uongo.
Kwa taarifa yako ni kwamba kampeni zinaendelea kwa kasi ya ajabu na tunaendesha kisayansi.mgombea yupo wala hajaingia mitini na hata leo ninavyoongea hapa watu wako kazini,na kesho kutakuwa na kampeni za kutumia jukwaa kwa maan ya public meeting.na huyo mgombea wenu tunasubiri muda tu halafu tutaanika mambo yake hadharani,na tayari mmeshaanza kutafuta ugomvi maana juzi mmekuja kwenye mkutano wetu pale viwanja vya shule ya msingi Rangi tatu.
Usidanganye watu,viongozi wa wilaya wapo na wanashiriki,viongozi wa mkoa wapo na wanashiriki,viongozi wa kanda ya Pwani wapo na wanashiriki,na juzi tulikuwa na makamu mwenyekiti wa kanda ya Pwani,kamanda Mabere Marando.
 
Kampeni za udiwani wa kata ya Mianzini, Mbagala wilayani Temeke zimeingia katika hatua nzuri huku vyama viwili vikionekana kupambana kikamilifu HATAHIVYO dalili zinaonyesha mgombea wa CCM mmiliki wa Scorpion Bar ataibuka kidedea kutokana na kukubalika miongoni wa wapiga kura wa eneo husika. Wakati huohuo mgombea wa CHADEMA amekata tamaa kwa vile leo ni siku ya pili hajaonekana katika kampeni. Tetesi ni kuwa ameamua kuingia mitini baada ya kutoswa na uongozi wa wilaya ambao unadai haupati ushirikiano kutoka uongozi wa Chadema mkoa na taifa. Poleni wafuasi na wakereketwa wa Chadema, jahazi linazama, njooni mliokoe!!!

Hao viongozi wa chini wa CDM WatamkumBUKA sana CHACHA WANGWE
 
Kabla hatujaja kuokoa, kule Mtwara umeshaenda kuyaokoa Magamba? Nasikia kule hamkusimamisha wala kukalisha mgombea udiwani, mmeamua kuingia uvunguni bora sisi tumeingia mitini ambako tunaonekana hata mchana kweupe!!

Ni kweli na tathimini yake haina mashiko anatakiwa aweke uthibitisho
 
MAFILILI jifunze kuepuka aibu za kujitakia na kujidhalilisha waziwazi.nadhani hii ni kwa sababu watu wengi tunatumia ID ambazo si majina yetu halisi.vinginevyo ingelikuwa aibu hata usingeweza kupita hata mitaani kwa sababu ya kujiabisha kwa kusema uongo.
Kwa taarifa yako ni kwamba kampeni zinaendelea kwa kasi ya ajabu na tunaendesha kisayansi.mgombea yupo wala hajaingia mitini na hata leo ninavyoongea hapa watu wako kazini,na kesho kutakuwa na kampeni za kutumia jukwaa kwa maan ya public meeting.na huyo mgombea wenu tunasubiri muda tu halafu tutaanika mambo yake hadharani,na tayari mmeshaanza kutafuta ugomvi maana juzi mmekuja kwenye mkutano wetu pale viwanja vya shule ya msingi Rangi tatu.
Usidanganye watu,viongozi wa wilaya wapo na wanashiriki,viongozi wa mkoa wapo na wanashiriki,viongozi wa kanda ya Pwani wapo na wanashiriki,na juzi tulikuwa na makamu mwenyekiti wa kanda ya Pwani,kamanda Mabere Marando.

Eneo la tukio ni majimatitu, nyie mnaendesha mikutano rangi tatu. Huko ni kuonyesha hamjuwi mnachokifanya, CCM inazidi kusonga mbele, nyie ni wazee wa uzushi
 
Mwita uongozi wako wa wilaya, mkoa na taifa haijachukulia uzito uchaguzi katika kata ya Mianzini, mmeshindwa hata kulipia matangazo kwa kutumia usafiri wa bodaboda??? Ruzuku yote imepelekwa Kaskazini, pia hapa DSM upendeleo upo kwa maeneo ya wilaya ya Kinondoni huku Temeke na Ilala wakikosa fedha za ruzuku

kwa nini Kinondoni???
 
Hata kama mtu amelewa si rahisi kumdanganya eti mgombea wa CHADEMA ameingia mitini kwa zama hizi
 
Mwita uongozi wako wa wilaya, mkoa na taifa haijachukulia uzito uchaguzi katika kata ya Mianzini, mmeshindwa hata kulipia matangazo kwa kutumia usafiri wa bodaboda??? Ruzuku yote imepelekwa Kaskazini, pia hapa DSM upendeleo upo kwa maeneo ya wilaya ya Kinondoni huku Temeke na Ilala wakikosa fedha za ruzuku

Kampeni zimepangwa kwa utaratibu,kuna strategies kwa ajili ya kampeni hizi usidhani kuwa kila siku tunapanda jukwaani tu.nasema tena hata sasa hivi makamanda wako kazini hadi sasa.
Kuhusu matangazo tuko vizuri tu ila naona umeamua kudanganya umma kama kawaida ya maccm,hivi hilo gari ambalo limekuwa kivutio kwa wakazi wa Mbagala linalotumika kwa matangazo hulioni?kuna gari la chama limeandikwa M4C na lina picha za mgombea kamanda Curthbet Ngwata Saulo,lakini pia kufuatia miundo mbinu mibovu seheme ambazo gari haifiki tunatumia piki piki za chama mahususi kwa PA,tena pikipiki hizo mbili zina nembo ya M4C pia na zimeandikwa Chadema kwenye tank,na zina vifaa vya matangazo,yaani PA system.nyinyi ndio mko hoi tumewaona.ila subiri game inachezwa,kwa sasa tunawapiga single fire,tutakuja kuwapiga fire for adjustment kabla ya kuwapiga rapid fire.we subiri tu
 
Eneo la tukio ni majimatitu, nyie mnaendesha mikutano rangi tatu. Huko ni kuonyesha hamjuwi mnachokifanya, CCM inazidi kusonga mbele, nyie ni wazee wa uzushi
wewe ndio hujui unachokisema maana ninachokizungumzia mimi ni mkutano wa Jumapili ambapo tulikuwa kwenye viwanja tajwa.anyway sitaki kulumbana na wewe,huwa sina haja ya kulumbana na maccm
 
Back
Top Bottom