Updates: UDIWANI Mianzini Mpambano ni CCM Vs CUF

Updates: UDIWANI Mianzini Mpambano ni CCM Vs CUF

Nimetoa ufafanuzi kuhusu jina la mgombea wa CCM. Udhaifu wa hoja kwa kutaja jina la mgombea?
Ka kuwa tarehe 16/6 si mbali,kwanini tuandikie mate wakati wino upo? Tusubiri matokeo wala hakuna haja ya malumbano.

Dr Ndugulile umeielewa Post yangu kweli ama umekimbilia Kunijibu tu????
 
Hahahahaaaaaaa. MAFILILIiiiiiiiiiiiiiii. Yani heading inaitaja ccm na mwandani wenu cuf lakini content hakuna mahali popote inapotajwa na badala yake umekitaja chama cha ukweli Chadema. Tunajua mnashirikiana na mwandani wenu kuendesha siasa za kidini mianzini lakini Chadema tuko imara na makini kukabiliana na hila zenu zote.

Kata ya Mianzini tumeshaichukua tunasubiri tu tarehe 16/06 kukabidhiwa cheti cha ushindi.
Halafu wakikaa kwenye majukwaa CHADEMA wadini,wao ni kwenda kupiga kampeni misikitini na makanisani.kaazi wanayo!
 
Chadema mmezoea kujipa misifa humu JF, Mianzini hamjui pa kuanzia mgombea wenu jana usiku alikuwa anatubu Kakonko Bar, Maji Matitu kuwa kafanya makosa kuchukua fomu kwenye chama kisichokubalika wala hakina ofisi ndani ya kata. Vikao vya Chadema vinafanyika bar sambamba na vikao vya harusi
 
Chadema mmezoea kujipa misifa humu JF, Mianzini hamjui pa kuanzia mgombea wenu jana usiku alikuwa anatubu Kakonko Bar, Maji Matitu kuwa kafanya makosa kuchukua fomu kwenye chama kisichokubalika wala hakina ofisi ndani ya kata. Vikao vya Chadema vinafanyika bar sambamba na vikao vya harusi

Weye ulijuaje kama si miongoni mwao? Mbona unalijua sana jina la hiyo au ndo sehemu upatayo kinana beere za baridi!
 
Nimetoa ufafanuzi kuhusu jina la mgombea wa CCM. Udhaifu wa hoja kwa kutaja jina la mgombea?
Ka kuwa tarehe 16/6 si mbali,kwanini tuandikie mate wakati wino upo? Tusubiri matokeo wala hakuna haja ya malumbano.

DR za bongo zina walakini, hv bungeni unafanya nini? Kiswahili kuandika taabu!
 
Wapiga kura wa kata ya Mianzini wameapa kutowapa kura chama cha wenyewe kutoka kanda -----------. Mianzini ni wandengereko hawataki kutumiwa na akina bwasheheee!!!!!
 
Majina hayana mahusiano na Uislam.
POle sana,Kwa Tarifa tu, Mbagala home na huyo namjua, ni MUISLAM JINA,ILA kwa sasa ndio anahudhuria misikitini.Tatizo linakuja kwanini waislam tumpokee huyu mtenda maovu?Kama MANITU Tajiri wa TMK yote amefunga BAR na GUEST zote kwa kuogopa UISLAM wake kwanini HUYU?
 
Mgombea wa CCM anaitwa Athuman Bawji Mbwana.
Afadhali nimekuona mheshimiwa kwanza habari ya asubuhi ooh sorry habari ya mchana hivi unajisikiaje wapiga kura wako matatizo lukuki halafu wewe unasimama bungeni unaunga mkono bajeti 100% wakati bajeti hiyo haina majibu ya kero za wapiga kura wako.
 
Chadema mmezoea kujipa misifa humu JF, Mianzini hamjui pa kuanzia mgombea wenu jana usiku alikuwa anatubu Kakonko Bar, Maji Matitu kuwa kafanya makosa kuchukua fomu kwenye chama kisichokubalika wala hakina ofisi ndani ya kata. Vikao vya Chadema vinafanyika bar sambamba na vikao vya harusi

Hii comment yako MAFILILI imenifanya nikuone wewe kumbe ni juha. Kwa akili yako ya kiliberali unataka Chadema iwe na ofisi nyumbani kwako ndipo ukiri kuwa wanayo ofisi? Ok, sasa kama mgombea wetu amekata tamaa kwanini unahangaika usiku na mchana kumpitisha mgombea wenu misikitini? Au unalalamika kwakuwa bar yake ya scorpion(tena mgombea wenu ustaadh lakini anamiliki bar!!??)imekosa mvuto haina wateja kwahiyo fungu la kuhonga limemuishia.
 
Last edited by a moderator:
Wapiga kura wa kata ya Mianzini wameapa kutowapa kura chama cha wenyewe kutoka kanda -----------. Mianzini ni wandengereko hawataki kutumiwa na akina bwasheheee!!!!!

Hizi ndio lugha zenu na ndio mbinu zenu waliberali kutumia propaganda za kuwagawa watanzania kwa misingi ya udini, ukabila na ukanda ilimradi tu kutafuta namna ya kuupata uongozi.

Huu mfululizo wa thread kumhusu mgombea wetu ni salamu tosha kuwa ccm hamna chenu Mianzini kwahiyo mmeamua liwalo na liwe kwa kuhubiri utengano wa kidini na kikabila kwa nguvu zenu zote. Lakini jambo moja mkumbuke kuwa watanzania wa sasa hawadanganyiki, hiyo fedha ya mmiliki wa scorpion bar mnayowagawia watu wataila na kura wataipigia Chadema.
 
Back
Top Bottom