Updates: Tanzania Postal Bank

Updates: Tanzania Postal Bank

DOMA

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2011
Posts
944
Reaction score
367
Jamaa hawa walisema usipopata taarifa siku saba toka deadline ambayo ilikuwa tarehe 6 mwezi huu ujue hujafanikiwa kwenye post za Team Leader na Freelancer. Sasa leo ndo mwisho bila shaka, vipi kuna yeyeote ambaye ameitwa?
 
endelea kusubiri mkuu me nipo na insider information
 
Mimi jana nimepokea sms ya kuitwa kwa interview, itakayofanyika sam nujoma road katika moja ya flats za posta!
 
Back
Top Bottom