Updates: Mkutano wa Zitto Kabwe Lindi

Updates: Mkutano wa Zitto Kabwe Lindi

Mcubic , Zitto amejitathmini na kuacha siasa za kupania wapinzani , na niliandika hapa ili aeleweke apambane na mfumo unaokandamiza hata mimi nitamkubali ingawa siwezi kuwa mfuasi wake nitasapoti apate majimbo nae aingie bungeni.Ni vizuri akaonesha heshima kwa wapinzani wenzake arrogancy isingalimsaidia .

Kwenu mashabiki wake maneno yenu kwenye mitandao yanaweza kumharibia huyu kijana kwakuwa mnaelekeza vita yenu kwa CDM kitu ambacho si lengo, mkibadilika mambo yatakua mazuri, yeye na ninyi mbadilike,badala ya kufukuza mwizi unafukuza aliyeibiwa isingewezekana .Kwa hiyo leo nasema OK tupo pamoja

Mbowe ndio tatizo sasa!
 
Sawa sawa kabisa, hata mimi najiuliza kwa nini! Kwa nini Zitto akihutubia watu wengi wanajitokeza. Zitto, a one man army! Zitto, a supreme leader! Kwa nini Zitto watu wanamsikiliza kwa makini kiasi hicho? Ritz anajiuliza, Mag3 anajiuliza na kwa maneno ya Ritz wako wengi wanaojiuliza, why? Why Zitto!

Why him and not anybody else? Kwa mara ya kwanza Tanzania imebahatika kumpata kiongozi wa pekee, kiongozi asiye mfano na kiongozi Mkuu (Supreme). Kwa nusu karne tulisubiri kwa matumaini kwamba ipo siku lazima atapatikana kumbe muda wote yupo miongoni mwetu bila kumtambua!

Katika muda mfupi sauti yake imeweza kusikika kote nchini toka Mashariki hadi Magharbi, toka Kaskazini hadi Kusini akieneza habari njema. Mamia kwa maelfu ya watu wamejitokeza akihutubia na kumsikiliza kwa umakini na utulivu ambao haujawahi kushuhudiwa hadi Ritz anauliza kwa nini, why?

Vip Mzee mzima?
 
labda kama atapata watu wengine waenye majina kama alivyo yeye, tumain pekee alilonalo ni
huko kwao kigoma kwamba yeye binafsi anaweza kurudi bungeni

Hili nakubaliana na wewe, kwa ilivyo sasa ACT inaweza tu kushinda majimbo ya mkoa wa Kigoma na jimbo la Mpanda kwa Arfi.

Majimbo mengine itahitaji kwanza ipate wagombea wanaojulikana na wanaoweza kujiuza wenyewe kwa heshima zao au umaarufu wao kwenye majimbo yao, wakiwamo wagombea maarufu watakaokosa uteuzi kwenye vyama vingine.
 
Nitake radhi kutoyajua mazingira ya siasa za Tanzania, na fahamu siasa za Tanzania zinafanana sana na nchi zingine za Afrika ukiondoa tofauti ndogo ndogo, huwezi kuiweka Tanzania kama kisiwa ukasema mifano nje ya Tanzania haihusiki, haipo hivyo.

Otherwise natambua hofu yako na ni hofu ya kweli kwa sababu Tanzania bado haijafika level hiyo ya kuiondoa CCM madarakani atleast kwa mwaka huu labda CCM wameguka mwezi ujao.

Hatuwezi kuitoa bado ingawa lazima tuwatikise sana kama watu watajipanga. Hapa ni ubunge tu na udiwani tena watu wakomae sana kukwepa magoli ya mkono,Hutaamini watu wakisinzia wapinzani hawatafikisha idadi waliyonayo sasa kupigana na CCM ni sawa na kupigana na Zombi. Leo Kinana kakusanya kadi nyingi sana za ACT na CDM huko Mwanza .Nadhani jambo hili niliwatahadharisha ACT kadi za kugawa barabarani na viwanjani CCM watazipokea ama watazinunua kisha wataosha nazo majukwaani. Nikiwaambia hivo mnasema Chagadema ,na maneno yenu ,ila ukweli ngoja kampeni ziazi kadi zenu zinapatikana kirahisi sana.
 
Sawa sawa kabisa, hata mimi najiuliza kwa nini! Kwa nini Zitto akihutubia watu wengi wanajitokeza. Zitto, a one man army! Zitto, a supreme leader! Kwa nini Zitto watu wanamsikiliza kwa makini kiasi hicho? Ritz anajiuliza, Mag3 anajiuliza na kwa maneno ya Ritz wako wengi wanaojiuliza, why? Why Zitto!

Why him and not anybody else? Kwa mara ya kwanza Tanzania imebahatika kumpata kiongozi wa pekee, kiongozi asiye mfano na kiongozi Mkuu (Supreme). Kwa nusu karne tulisubiri kwa matumaini kwamba ipo siku lazima atapatikana kumbe muda wote yupo miongoni mwetu bila kumtambua!

Katika muda mfupi sauti yake imeweza kusikika kote nchini toka Mashariki hadi Magharbi, toka Kaskazini hadi Kusini akieneza habari njema. Mamia kwa maelfu ya watu wamejitokeza akihutubia na kumsikiliza kwa umakini na utulivu ambao haujawahi kushuhudiwa hadi Ritz anauliza kwa nini, why?

msalimie nguruvi3
 
ni upuuzi kulinganisha chama kilichoanza tangu 1992 na chama kisichozidi umri hata wa miaka miwili

Wanajilinganisha ni hao act wenu kwa tamaa zisizo na tija kwa maelekezo ya kiongozi wao sababu ya chuki zake tu,
 
Mcubic njoo ndugu yangu watu wanaingia kwa uchache huku. natarajia picha itapigwa kwenye kachochoro kenye majengo na watu wapo chobingo hammudu viwanja

Mcubic atakuwa yupo anatengeneza picha za kasulu ili atupie leo kuwa ni mkutano wa lindi
 
Ndio zzk anaingia msafara wake umeanza na bodaboda kama 30 hv na magari mawili aina ya land cruiser

Moja yupo zzk ingine afande selle

Hivi kwenye act huyo afande sele ndiye kiongozi mkuu msaidizi?
 
Kwa chama kidogo kama ACT naanza kupata wasiwasi ni nini chanzo cha mapato mpaka wamudu kufanya ziara nyingi kiasi hiki!!!

Hui kuwa bajeti kuu ndio imepitishwa tayari?
 
Back
Top Bottom