Updates: Mkutano wa Zitto Kabwe Lindi

Updates: Mkutano wa Zitto Kabwe Lindi

act timeweza lindi na mikoa yote ya kusini kitu amabaco hua kinawashinda vyama vingine mtwara hio na picha ya chini ni lindi uwanjani
 

Attachments

  • 1435343892468.jpg
    1435343892468.jpg
    74.8 KB · Views: 792
  • 1435343953464.jpg
    1435343953464.jpg
    91.6 KB · Views: 785
hee!.kumbe mwendo wakufyeka mapori unaendelea!. viva wazalendo foward...back ward never.
 
Kwenu mashabiki wake maneno yenu kwenye mitandao yanaweza kumharibia huyu kijana kwakuwa mnaelekeza vita yenu kwa CDM kitu ambacho si lengo, mkibadilika mambo yatakua mazuri, yeye na ninyi mbadilike,badala ya kufukuza mwizi unafukuza aliyeibiwa isingewezekana .Kwa hiyo leo nasema OK tupo pamoja

Msulibasi nilikwambia awali kuwa watakuja tu.Hoja yako ya kusemana vibaya ipo zaidi Chadema kuliko ACT.

ACT sio chama cha upinzani acha kupotosha

ACT sio chama cha upinzani Mkuu.
Unless hujui nini sifa na Majukumu ya Opposition parties,nenda ka revise CIVICS yako ya kidato cha pili

Zitto ni kikatuni kama cha mama ndege wa ubongo kids
 
yap yap kama kawaida mapoli yanafyekwa....na hapo wajirekodi af wajichekeshe...vichwa maji

attachment.php


attachment.php
 
Ukiwa mchanga kisiasa unaweza dhani kuwa chama kilichoanza jana kinaweza cheza ligi kuu na kupata matokeo

Hapa natofautiana kidogo na wewe,siasa za Afrika zinaangalia mtu/watu kuliko vyama.

Ushindi wa kuchukua dola unaletwa na taswira yenye nguvu ya mgombea au waliokuwa naye, dhana ya chama taasisi Afrika ni dhana ya ndotoni tu maana hatupo kwenye vyama kwa itikadi,waulize wanachama wa vyama kama ata wanajua hayo,ndio maana vyama vyetu vimejengwa kwenye uchifu fulani hivi.

Kenya hapo, Uhuru na Rutto waliingia madarakani na vyama vyenye miezi tu, Nigeria ni chama cha mwaka mmoja tu kimeingia madarakani.
 
Najiuliza kwa nini kila sehemu akienda Zitto kuhutubia watu wengi wanaojitokeza na kumsikiliza kwa makini kiasi hicho.
 
Last edited by a moderator:
Hapa natofautiana kidogo na wewe,siasa za Afrika zinaangalia mtu/watu kuliko vyama.

Ushindi wa kuchukua dola unaletwa na taswira yenye nguvu ya mgombea au waliokuwa naye, dhana ya chama taasisi Afrika ni dhana ya ndotoni tu maana hatupo kwenye vyama kwa itikadi,waulize wanachama wa vyama kama ata wanajua hayo,ndio maana vyama vyetu vimejengwa kwenye uchifu fulani hivi.

Kenya hapo, Uhuru na Rutto waliingia madarakani na vyama vyenye miezi tu, Nigeria ni chama cha mwaka mmoja tu kimeingia madarakani.

wewe si mtu m-bishi bali huzifahamu siasa za Tanzania na mazingira yake katika chaguzi, Nieria ni mdudu tofauti kabisa , awali nilifikiri kama wewe 1995 niliumia sana ilivokuwa ikaja tena 2010 maana 2005 hakukuwa na upinzani kabisa . Uchaguzi unahitaji taasisi imara sana na nyenzo, maandalizi nayo ni muhimu pia roho ya ujasiri wa kupambana kudai haki kwenye zoezi la kura kuanzia uandikishaji kama CDM wanavyofanya , Nikuambie kuwa Tanzania kubwa sana na ina makabila na itikadi kibao pia waliooenda shule na wasiosoma . Imani yangu ni kupambana kupata wabunge na madiwani wengi ila alichokuambia nnauye hakukosea alitoa cha moyoni goli la mkono na kama si majasiri hilo goli lipo. Zitto akihubiri ustaarabu atakuja pata kibano na akose wapinzani wa kumsaidia, bora aache kuponda staili ya wenzake-yeye awaache CCM wameshindwa sehemu ambazo watu wapo imara ki mapambano. Tutakuja yaongea hapa kampeni zitakavoanza usije lalamika hapa jukwaani maana munaona CCM imepoa mnafikiri ni nyau August mtaijua vema
 
Ukizikuza hizi picha kama hapo juu unaweza kuwahesabu watu wote waliohudhuria bado sana . Mkitaka kuficha aibu wekeni vi-thumbnail inaonekana kama watu nyomi
 
Hichi kipindi kwa sababu ni cha uchaguzi hata mrema akienda atapata watu wakuja kumshanga kwahiyo zitto watu walienda kumshanga
 
Najiuliza kwa nini kila sehemu akienda Zitto kuhutubia watu wengi wanaojitokeza na kumsikiliza kwa makini kiasi hicho.
Sawa sawa kabisa, hata mimi najiuliza kwa nini! Kwa nini Zitto akihutubia watu wengi wanajitokeza. Zitto, a one man army! Zitto, a supreme leader! Kwa nini Zitto watu wanamsikiliza kwa makini kiasi hicho? Ritz anajiuliza, Mag3 anajiuliza na kwa maneno ya Ritz wako wengi wanaojiuliza, why? Why Zitto!

Why him and not anybody else? Kwa mara ya kwanza Tanzania imebahatika kumpata kiongozi wa pekee, kiongozi asiye mfano na kiongozi Mkuu (Supreme). Kwa nusu karne tulisubiri kwa matumaini kwamba ipo siku lazima atapatikana kumbe muda wote yupo miongoni mwetu bila kumtambua!

Katika muda mfupi sauti yake imeweza kusikika kote nchini toka Mashariki hadi Magharbi, toka Kaskazini hadi Kusini akieneza habari njema. Mamia kwa maelfu ya watu wamejitokeza akihutubia na kumsikiliza kwa umakini na utulivu ambao haujawahi kushuhudiwa hadi Ritz anauliza kwa nini, why?
 
Hapa natofautiana kidogo na wewe,siasa za Afrika zinaangalia mtu/watu kuliko vyama.

Ushindi wa kuchukua dola unaletwa na taswira yenye nguvu ya mgombea au waliokuwa naye, dhana ya chama taasisi Afrika ni dhana ya ndotoni tu maana hatupo kwenye vyama kwa itikadi,waulize wanachama wa vyama kama ata wanajua hayo,ndio maana vyama vyetu vimejengwa kwenye uchifu fulani hivi.

Kenya hapo, Uhuru na Rutto waliingia madarakani na vyama vyenye miezi tu, Nigeria ni chama cha mwaka mmoja tu kimeingia madarakani.

nakubaliana na wewe kwa afrika hakuna itikadi wala Sera ni haiba ya Mtu, umaarufu na au mazoea basi, na ndio maana zitto atapata taabu sana na chama chake labda kama atapata watu wengine waenye majina kama alivyo yeye, tumain pekee alilonalo ni
huko kwao kigoma kwamba yeye binafsi anaweza kurudi bungeni
 
Zito yuko vizuri sio sawa na vichwa maji wenu a k a wazee wa zomeazomea (mabundi) issue sio kujaza uwanja kumbukeni hiyo Ilulu Limdi watu wako kwenye swaum hawana muda wa kwenda kwenye siasa wao wako kwenye Ibada, kumbukeni I'll ni moja kati ya maeneo yenye waislam wengi wamefunga.
 
wewe si mtu m-bishi bali huzifahamu siasa za Tanzania na mazingira yake katika chaguzi, Nieria ni mdudu tofauti kabisa , awali nilifikiri kama wewe 1995 niliumia sana ilivokuwa ikaja tena 2010 maana 2005 hakukuwa na upinzani kabisa . Uchaguzi unahitaji taasisi imara sana na nyenzo, maandalizi nayo ni muhimu pia roho ya ujasiri wa kupambana kudai haki kwenye zoezi la kura kuanzia uandikishaji kama CDM wanavyofanya , Nikuambie kuwa Tanzania kubwa sana na ina makabila na itikadi kibao pia waliooenda shule na wasiosoma . Imani yangu ni kupambana kupata wabunge na madiwani wengi ila alichokuambia nnauye hakukosea alitoa cha moyoni goli la mkono na kama si majasiri hilo goli lipo. Zitto akihubiri ustaarabu atakuja pata kibano na akose wapinzani wa kumsaidia, bora aache kuponda staili ya wenzake-yeye awaache CCM wameshindwa sehemu ambazo watu wapo imara ki mapambano. Tutakuja yaongea hapa kampeni zitakavoanza usije lalamika hapa jukwaani maana munaona CCM imepoa mnafikiri ni nyau August mtaijua vema

Nitake radhi kutoyajua mazingira ya siasa za Tanzania, na fahamu siasa za Tanzania zinafanana sana na nchi zingine za Afrika ukiondoa tofauti ndogo ndogo, huwezi kuiweka Tanzania kama kisiwa ukasema mifano nje ya Tanzania haihusiki, haipo hivyo.

Otherwise natambua hofu yako na ni hofu ya kweli kwa sababu Tanzania bado haijafika level hiyo ya kuiondoa CCM madarakani atleast kwa mwaka huu labda CCM imeguka mwezi ujao, bila CCM kumeguka basi Rais wa awamu ya 5 wa Tanzania atajulikani wiki mbili zijazo.
 
Back
Top Bottom