Watanzania wanaopenda democrasia wamsapot zzk na act maana hata magari yao yamechoka vyombo vya mziki navyo vinasuasua
Muachen zzk afanye yake
Kwa chama kidogo kama ACT naanza kupata wasiwasi ni nini chanzo cha mapato mpaka wamudu kufanya ziara nyingi kiasi hiki!!!
Zzk anasema sheria za gesi zote ni mbovu kwa sababu hazikushirikisha wananchi
Tusikubali kuwa maskini wakati tuna utajiri
Tuwaambie viongozi wetu hatutak kunyonywa
Anaelezea azimio la tabora
Katika siku zote za mikutano leo walau Danny Massawe umelitendea haki jukwaa, endelea.
Wanamsifu lipumba anasema ni mwalimu wake na anamuheshimu
Anasema act wanasiasa safi hakuna matusi
Anasema ameleta chama na tuamue wenywe
AMEMALIZA
Hakika Masonjo.... Danny Massawe anastahili pongezi kwa kuwa muungwana kwa kuripoti kinaga ubaga wa kile kinachojiri.....aendelee
anaagiza kila mwananchi mwenye namba ya simu ya mbunge yeyote wa kusini ampigie amwambie apiginae kutopishwa kwa miswada ihusio gesi na mafuta ambayo inategemewa kupelekwa bungeni kwa hati ya dharura kwani haina tiga kwa wananchi
Ni kweli kabisa Mcubin,hivi ndivyo inavyotakiwa, eleza yanayoongelewa kisha baadae utatoa maoni yako.
Tatizo mikutano mengine watu wanajaza humu yao badala ya kuteleza yanayosema mkutanoni.
Ni kweli kabisa Mcubin,hivi ndivyo inavyotakiwa, eleza yanayoongelewa kisha baadae utatoa maoni yako.
Tatizo mikutano mengine watu wanajaza humu yao badala ya kuteleza yanayosema mkutanoni.
Ajabu Kuna mpuuzi mmoja sijui kala maharage ya wapi huyu anaitwa R.B amemkejeli Danny Massawe kwa kuwa tu ni mchagga!Hakika Masonjo.... Danny Massawe anastahili pongezi kwa kuwa muungwana kwa kuripoti kinaga ubaga wa kile kinachojiri.....aendelee
MICHANGO YA WAZALENDO; KUNA WATU WANAPESA ZA HALALI; SIO CHA CHRITIAN DEMOCRATIC UNION ya ujerumani