Punguza povu nayy sinimwananchi anayohaki? au?
kumbuka siku lowasa alipopanda daladala mwanafunzi alimtolea kad ya mpiga kura sasa endelea kudharau wanafunz hutoaminishule hizi hizi za serikali na halmashauri za ccm mkuu?!!!
Hii yote amechangia Wilbroad, alijua atafifisha kumbe mpango wa Mungu watanzania wakombolewe. Tuliosoma PCM ndani ya Chemistry tunamuita wilbroad cheterist, yaani is a thing which speed up the chemical reaction. Akajipange upya.
Kura haipo mijini tu msijifariji ni juzi mulizindua Kampeni Dar na kurudi tena huko kutokeaTabora.
Mafuriko ya lowassa si mjini pekee hata akienda kijijini bado anapeta tuuu.... Ssm mtajibeebaaa
Waumini hawaitaki CCM.Huu Ni Upumbavu,kwanin Hawa Viongoz Wa Dini Wanajihusisha Kwenye Siasa?Kama Wanapenda Si Waache Makanisa Waendee Majukwaan!!Sasa Kakobe Uzinzi Slaa Unamhusu Nin Na Alikuwa Wap Tym Yote?Gwajima Nae Kakubali Kuwa Alihusika Kumpeleka Lowassa Chadema As Mshenga,sasa Mtu Kama Huyu Tumuweke Wap,mchungaj,kiongozi Wa Siasa Au Nan?Bora Ashabikie Awe Neutral,huyu Anaonesha Dhahiri Yupo Upande Gan,haoni Kama Anagawa Waumin Wake?
Waumini hawaitaki CCM.
Hamna kitu hapa
Ina maana Dr Mihogo na Delila wamekula pesa za bure hakuna Impact ya press conference yake ya Serena Hotel.?