Updates: Maendeleo ya afya ya Manumba

Updates: Maendeleo ya afya ya Manumba

yapo mambo ya msingi ya kujadili sio huyu jamaa!:confused2:
 
Waungwana si vibaya kama tukijuzana kuhusu Maendeleo ya Mtanzania Mwenzetu na Kiongozi wetu , mwenye habari yoyote kuhusu Kamanda wetu ni bora akatujulisha , labda tunaweza kutabasamu , Mungu amjaalie afya njema .
 
Waungwana si vibaya kama tukijuzana kuhusu Maendeleo ya Mtanzania Mwenzetu na Kiongozi wetu , mwenye habari yoyote kuhusu Kamanda wetu ni bora akatujulisha , labda tunaweza kutabasamu , Mungu amjaalie afya njema .

Ulimboka anaendelea vizuri na kazi zake!
 
Nenda pale Central police kwa kova, ukiingia tu mlango mkubwa/kwenye ngazi kabla ujafika counter chumba za kwanza tokea counter.... kuna habar zote pale.
 
Nenda pale Central police kwa kova, ukiingia tu mlango mkubwa/kwenye ngazi kabla ujafika counter chumba za kwanza tokea counter.... kuna habar zote pale.

kushoto kulia?
 
Kitu chenye ncha kali kimemlalia tunashindwa kukitoa kujua anavyoendelea. Uzuri ni kwamba ametii sheria za hospitali bira shuruti so hatuna wasiwasi wa yeye kuresiti ini pisi
 
Nimesikia ameongezewa machine nyingine ya kupumulia !!!

sikuwahi fikiri malaria ni hatari kiasi hiki na wala sijajua mpaka leo kama kweli Tz nzima hatuwezi tibu malaria mpaka tupeleke mgonjwa nje ya nchi!
 
Wewe badala uulize afya ya Babu na kisugar chake anaendeleaje manake asije akatuachie mtoto mdogo
 
sikuwahi fikiri malaria ni hatari kiasi hiki na wala sijajua mpaka leo kama kweli Tz nzima hatuwezi tibu malaria mpaka tupeleke mgonjwa nje ya nchi!

jiandaeni kusikia mtu anafanyiwa operation kuondoa malaria mwilini.
 
Waungwana si vibaya kama tukijuzana kuhusu Maendeleo ya Mtanzania Mwenzetu na Kiongozi wetu , mwenye habari yoyote kuhusu Kamanda wetu ni bora akatujulisha , labda tunaweza kutabasamu , Mungu amjaalie afya njema .

na pia kuna tetesi kwamba hali ya kamanda KOVA SI NZURI,
 
Back
Top Bottom