Jagarld
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 2,689
- 3,442
jiandaeni kusikia mtu anafanyiwa operation kuondoa malaria mwilini.
kweli kabisa mkuu,kwa viongozi waTz kondoo kuitwa punda si jambo la ajabu lakini hawajui kuwa uongo hauna guarantee unaweza waumbua mda wowote,kama kweli malaria ya manumba hii ikisambaa Tz akina nani watasalimika,tuombe Mungu iishie kwa manumba pekee wengine isituguse!