Updates: Maendeleo ya afya ya Manumba

Updates: Maendeleo ya afya ya Manumba

sikuwahi fikiri malaria ni hatari kiasi hiki na wala sijajua mpaka leo kama kweli Tz nzima hatuwezi tibu malaria mpaka tupeleke mgonjwa nje ya nchi!

Kwa ambaye ameelewa ulicho andika, amepata ujumbe. Namsikitikia ambaye atasoma na asielewe ulicho andika. Bigup mkuu.
 
Kinachoshangaza ni ukimya wa viongozi wa nchi hii , huyu jamaa anatibiwa kwa Hela yetu , lakini habari zake hatujulishwi , we need to know how much is this process costful bhana !
 
taarifa hizi nami nimezipata leo kuwa ana kiharusi,,,,ila zinafichwafichwa,,,sasa kama kuna mtu anaweza afanye tukio la ujambazi ili tuone kama atajitokeza hadharan

Mkoroshokigoli mbona unatisha aisee ! Hivi kuna mwenye ujasiri wa kuonja sumu ?
 
taarifa hizi nami nimezipata leo kuwa ana kiharusi,,,,ila zinafichwafichwa,,,sasa kama kuna mtu anaweza afanye tukio la ujambazi ili tuone kama atajitokeza hadharan
Nimeshindwa kujizuia kucheka. Kwa nini usifanye wewe hilo tukio la ujambazi!
 
Kova naye si nilisikia anaumwa ? Au ulikuwa uzushi ?

ugonjwa wa kova unamahusiano na habari za kiintelijensia wakati tatizo la manumba tutaliundia tume ya policcm. waziri nchimbi anafahamu
 
hivi ni mwaka wa 10 sasa yuko icu!?

Yep....on taxpayers bill

images
 
Haki ya nani nimecheka,eti mtu afanye ujambazi kisha tuangalie nani atafanya PRESS CONFERENCE.
 
Aroo yare majambasi mawiri yarikua nakijindaaa kuriambushi daradara pare sarenda brigiii,Ira askari wetu warisoma arama ya nyakati kabra ya kuteketreza hiro tukio.........tibaigana!!!!!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Hiyo malaria iwapate wenye pesa tu maana sisi wakina yahe tungeshahalika! Huu mwezi wa pili jamaa ametokomea kwenye afya!!
 
Back
Top Bottom