Elections 2010 Updates kutoka Royola every 10 minutes

Wapiganaji, nakwambia kama kuna timu ya kampeni ilijipanga vema, naweza sema kwa uhakika Mnyika Campaign Team-2010 basi inashika no. 1 si tu Tz bali Africa. Huwezi amini IT Unit yetu ina Certified Hakers, Oracle Database Cert Eng, CCNA, CCNP na Legal Unit ina LLB na MLB kama za Obama. Labda niwadokeze, tuliweza kumaliza kujumlisha kura zote by jana saa 9 ucku simply b'coz IT ilikwisha tengeneza software ya tallying long tm ago. Na tayari imepata soko dont ask me where... NEC wanatumia Ms Xcel!

Hahahah ina maana NEC baado wanajumlisha tu kweli kazi tunayo
 
JK alitua Mwanza kwa Wanje, alipoona mtiti alisalimu amri na watu wakatangaza ukweli, Hope kwa mtaji huu atalazimika kuja Loyola but watu wakilegea tu tumekwisha.
Tumekula ng'ombe mzima mkia usitushinde wazee komaeni till kinaeleweka.
 
nec taasisi ya nch database inakubali same detail i mean kuna watu wamejiandikisha three times but kila ukiita namba inakuja details bila kushtukia double entry. anyway Kiravu kwani nae ajua wapi echnology? sawa tu na mabosi wa tcra wamekalia vyeo hku wapo karne ya 4! Mungu atatukomboa from hawa mafiadi soon i believe, mijambazi ya mchana kweupe, je mikataba ya madini ambayo wananchi hatupo?
 
wanataka kuwachosha watu muondoke hapo, pia kawe yamekaliwa pia, hakuna kulala, nawasha gari naja huko ila msinipige nkiingia ntatoa ishara ya antena!
 
Naskia huko kuna gari la Serikali STK limepinduliwa Chali... mliopo huku tujuzeni jamani Loh! JK watu wamemchoka...
 
nipo royola, Jamaa bado wanalalia matokeo, niko hapa hapa saa nne usiku, inaeelekea ccm wako hooooooi. mnyika yuko na detailed result kutoka kila kituo, sidhani kama wataweza kuchakua, utakua muujiza, kuna takribani watu 150-200 hapa (mi nikiwa mmoja wao) tumekusanyika tunasubiri matokeo, kila gari inayoingia raia wanaizingira ili isisushe 'feki'

MAJIRA YA SAA NANE USIKU VIJANA WA KAZI WALIISTUKIA GARO MOJA AINA YA LKAND CRUISER v8 YA SERIKALI IKITAKA KUTUMIA MLANGO WA GETI NO 3 KUINGIA HAPA ROYOLA, WAKATOA TAARIFA DEREVA WAKE AKADAKWA NA KUHOJIWA KABLA YA KUKABIDHIWA KWA FFU AMBAPO ALIDAI KUWA ALIWASHUSHA AKINA MAA WAWILI WAKIWA NA MABEGI AMBAYO HAFAMU NDANI YAKE KUNA NINI NA WAKAFUNGULIWA GETI NA KUINGIA.

ILI KUWEKA KUMBUKUMBU NZURI KWA WAANDISHI WA HABARI GARI LILIPINDULIWA MIGUU JUU KAMA USHAIHIDI WA MAGARI YA SERIKALI KUTUMIKA KATIKA WIZI WA KURA.

MAJIRA YA SAA NANE NA NUSU LAND CRUISER INGINE IKIWA NA NAMBA ZA PT ILIONEKANA IKIRANDA RANDA KARIBU KABISA NA MABIBO MWISHO, IKIDHANIWA KUWA INSUBIRI ULE MIZIGO ILIYOSHUSHUWA AWALI NA ITUMIKE KUINGIZA HAPO KITUONI KWA KUWA VIJANA WAMESHIKKA DORIA JENGO ZIMA
.

JAMBO LA HERI NI KUWA ASAKRI WA JWTZ NA FFU WANADAI PIA WALIMPA DR SLAA KURA AU NI KIPENZI CHAO HIVYO HAWAONI SABABU YA KUTUMIA NGUVU KULINDA UTAWALA WA KIIMILA UNAOCHELEWESHA MATOKEO KWA MAKUSUDI YA KUIBA KURA. FFU MMOJA ALIDAI KUWA MWILI MWAKE AMEBEBA KILO 20 IKIWA NI RISASI ZA MABOBU PROTECTIVE GEAR N.K KUTOKEA ASUBUHI NA HAWAJALIPWA POSHO ZOZOTE NA AMECHOKA SANA HAONI SABABU YA KUTESWA KIASI HICHO.
 
Angalia sana,ile Loyola ina mageti ma3 lakini kuna ule uchochoro unaotokea uwanja wa football na basket ball,wanaweza pita huko. Pia kule multpurpose hall kuna jengo liko ardhini yan underground angali uchakachuaji ucjeanzia huko. Napajua sana nimekula shule pale,pamekaa ki intelligentia sana,chunga sana wakuu!
 
kuna haja ya kutafuta jeshi la kuodi lisimamie haki za vyama vya upinzani...maana cm wana majenshi yanawalinda. Hii sio haki kabisa. I wish hata ninywe sumu. Kwanini iwe ushindi wa kulazimisha. Haiwezekani mtuchaguie kiongozi. Mbona ccm walikoongoza zoezi la kutangaza lilikuwa ni rahisi sana? Mungu wa wanyonge na awalaani na vizazi vyenu vyoooote na msipate mafanikio yoyote.
Democrasia iko wapi sasa?

cha kufurahisha majeshi ni ya ccm kwa majina na viongozi wake lakini watenda kazi wenyewe ni wa upinzani kwa kuwa viongozi wa majeshi hayo wanalipwa mishahara mikubwa na posho lukuki ilihali askari wa chini wanalipwa malipo kiduchu
.
 
Mpaka kieleweke mwendo mdundo kudai haki kura tupige sisi wo wanataka kubadilisha matokeo pambafff zao
 
majira ya saa nane usiku vijana wa kazi waliistukia garo moja aina ya lkand cruiser v8 ya serikali ikitaka kutumia mlango wa geti no 3 kuingia hapa royola, wakatoa taarifa dereva wake akadakwa na kuhojiwa kabla ya kukabidhiwa kwa ffu ambapo alidai kuwa aliwashusha akina maa wawili wakiwa na mabegi ambayo hafamu ndani yake kuna nini na wakafunguliwa geti na kuingia.

ili kuweka kumbukumbu nzuri kwa waandishi wa habari gari lilipinduliwa miguu juu kama ushaihidi wa magari ya serikali kutumika katika wizi wa kura.

Majira ya saa nane na nusu land cruiser ingine ikiwa na namba za pt ilionekana ikiranda randa karibu kabisa na mabibo mwisho, ikidhaniwa kuwa insubiri ule mizigo iliyoshushuwa awali na itumike kuingiza hapo kituoni kwa kuwa vijana wameshikka doria jengo zima
.

jambo la heri ni kuwa asakri wa jwtz na ffu wanadai pia walimpa dr slaa kura au ni kipenzi chao hivyo hawaoni sababu ya kutumia nguvu kulinda utawala wa kiimila unaochelewesha matokeo kwa makusudi ya kuiba kura. Ffu mmoja alidai kuwa mwili mwake amebeba kilo 20 ikiwa ni risasi za mabobu protective gear n.k kutokea asubuhi na hawajalipwa posho zozote na amechoka sana haoni sababu ya kuteswa kiasi hicho.

mtu akiishachoka amechoka hata ufanyeje sasa hapo ccm ndio wataona habari yake
 
nilidhani mnyika ni mtu makini!!
Kwa nini wamekubali kuruhusu kuhesabu kura upya na huku mawakala wa ccm walishathibitisha matokeo? Amgesubiri waende mahakamani!
Siamini this is happening !!

elewa hakuna kura zinazohesabiwa upya, kinachofanyika ni kutally fomu za matokeo zilizotoka vituoni. Fomu hizi zinztakiwa kuwa scanned na kutumwa tume ya uchaguzi, hivyo kuscan fomu zaidi ya 1000 kwa uzoefu wa watumishi wa manispaa zetu unataraji nini kitatokea?

Habari za kiuchunguzi zinaonyesha kuwa wakurugenzi wa manispaa za dar es salaam wanaogopa kutangaza matokeo mabaya kwa ccm mkoani dar es salaam mapema kwa kuwa wataoneka kuwa wao ndio wanaahamasisha wakurugenzi wa halmashauri za miji na wilya za mikoani kutangaza matokeo mabaya kwa ccm. Hivyo wanavuta muda kidogo ili ccm iweze kuzoea na kukubali ukweli kwamba watanzania wameanza kuikataa ndipo nao watangaze matokeo mabaya ya ccm katika majimbo ya jiji la dar es salaam, mkoa ambao ccm inaamini kuwa wana hati miliki yake kiasi cha kuiamuru tume ya uchaguzi kufuta uchaguzi mwaka 1995 ilipodhirika kuwa ccm inafanya vibaya. Safari hii wamekutana na peoples power!!!!!!!!!!!
 
Wapiganaji, nakwambia kama kuna timu ya kampeni ilijipanga vema, naweza sema kwa uhakika Mnyika Campaign Team-2010 basi inashika no. 1 si tu Tz bali Africa. Huwezi amini IT Unit yetu ina Certified Hakers, Oracle Database Cert Eng, CCNA, CCNP na Legal Unit ina LLB na MLB kama za Obama. Labda niwadokeze, tuliweza kumaliza kujumlisha kura zote by jana saa 9 ucku simply b'coz IT ilikwisha tengeneza software ya tallying long tm ago. Na tayari imepata soko dont ask me where... NEC wanatumia Ms Xcel!
Great news ,kwanini hamkushauri hiyo itumike kwa ajili ya tallying ya kura za Mgombea wa Urais.
 
Back
Top Bottom