Wapiganaji, nakwambia kama kuna timu ya kampeni ilijipanga vema, naweza sema kwa uhakika Mnyika Campaign Team-2010 basi inashika no. 1 si tu Tz bali Africa. Huwezi amini IT Unit yetu ina Certified Hakers, Oracle Database Cert Eng, CCNA, CCNP na Legal Unit ina LLB na MLB kama za Obama. Labda niwadokeze, tuliweza kumaliza kujumlisha kura zote by jana saa 9 ucku simply b'coz IT ilikwisha tengeneza software ya tallying long tm ago. Na tayari imepata soko dont ask me where... NEC wanatumia Ms Xcel!
nipo royola, Jamaa bado wanalalia matokeo, niko hapa hapa saa nne usiku, inaeelekea ccm wako hooooooi. mnyika yuko na detailed result kutoka kila kituo, sidhani kama wataweza kuchakua, utakua muujiza, kuna takribani watu 150-200 hapa (mi nikiwa mmoja wao) tumekusanyika tunasubiri matokeo, kila gari inayoingia raia wanaizingira ili isisushe 'feki'
kuna haja ya kutafuta jeshi la kuodi lisimamie haki za vyama vya upinzani...maana cm wana majenshi yanawalinda. Hii sio haki kabisa. I wish hata ninywe sumu. Kwanini iwe ushindi wa kulazimisha. Haiwezekani mtuchaguie kiongozi. Mbona ccm walikoongoza zoezi la kutangaza lilikuwa ni rahisi sana? Mungu wa wanyonge na awalaani na vizazi vyenu vyoooote na msipate mafanikio yoyote.
Democrasia iko wapi sasa?
majira ya saa nane usiku vijana wa kazi waliistukia garo moja aina ya lkand cruiser v8 ya serikali ikitaka kutumia mlango wa geti no 3 kuingia hapa royola, wakatoa taarifa dereva wake akadakwa na kuhojiwa kabla ya kukabidhiwa kwa ffu ambapo alidai kuwa aliwashusha akina maa wawili wakiwa na mabegi ambayo hafamu ndani yake kuna nini na wakafunguliwa geti na kuingia.
ili kuweka kumbukumbu nzuri kwa waandishi wa habari gari lilipinduliwa miguu juu kama ushaihidi wa magari ya serikali kutumika katika wizi wa kura.
Majira ya saa nane na nusu land cruiser ingine ikiwa na namba za pt ilionekana ikiranda randa karibu kabisa na mabibo mwisho, ikidhaniwa kuwa insubiri ule mizigo iliyoshushuwa awali na itumike kuingiza hapo kituoni kwa kuwa vijana wameshikka doria jengo zima.
jambo la heri ni kuwa asakri wa jwtz na ffu wanadai pia walimpa dr slaa kura au ni kipenzi chao hivyo hawaoni sababu ya kutumia nguvu kulinda utawala wa kiimila unaochelewesha matokeo kwa makusudi ya kuiba kura. Ffu mmoja alidai kuwa mwili mwake amebeba kilo 20 ikiwa ni risasi za mabobu protective gear n.k kutokea asubuhi na hawajalipwa posho zozote na amechoka sana haoni sababu ya kuteswa kiasi hicho.
CCM chali ubungo, ni vile tu hawataki kutangaza rasmi
nilidhani mnyika ni mtu makini!!
Kwa nini wamekubali kuruhusu kuhesabu kura upya na huku mawakala wa ccm walishathibitisha matokeo? Amgesubiri waende mahakamani!
Siamini this is happening !!
mngetoa motisha mkapika kiberiti jengo moja ndo watajua kuwa mnataka haki yenu
Great news ,kwanini hamkushauri hiyo itumike kwa ajili ya tallying ya kura za Mgombea wa Urais.Wapiganaji, nakwambia kama kuna timu ya kampeni ilijipanga vema, naweza sema kwa uhakika Mnyika Campaign Team-2010 basi inashika no. 1 si tu Tz bali Africa. Huwezi amini IT Unit yetu ina Certified Hakers, Oracle Database Cert Eng, CCNA, CCNP na Legal Unit ina LLB na MLB kama za Obama. Labda niwadokeze, tuliweza kumaliza kujumlisha kura zote by jana saa 9 ucku simply b'coz IT ilikwisha tengeneza software ya tallying long tm ago. Na tayari imepata soko dont ask me where... NEC wanatumia Ms Xcel!