Yani kuna sehemu huwa wakitangaza kazi huwa sijisumbui kabisa kutuma maombi
niliombaga messenger 2012 ckuitwa...BOT kuna wenyw.
i think huku qualify
walitaka form 6...na nikaaply kwa chet cha form six....sikuqualfy nn ss??
walitaka form 6...na nikaaply kwa chet cha form six....sikuqualfy nn ss??
Walitaka form 6.....wewe ulikua na cheti cha zaidi ya form 6. Huwa wanafuatilia
wanafatiliaje wakt ckuattach hvyo vyet vngn...haya juz tena walitangaza na nina experience juu kwenye post ya bank examiner...cjaitwa written wala oral....!!ngoja nikaombe undugu na ndullu niingie fasta.
uwoga wako ndio umaskini wako
Habari wana JF makini!!
Mwezi may rafiki yangu alipigiwa cm toka bot akafanye written interview then waliambiwa kuwa watakao faulu watapigiwa cm .
Mpaka sasa hajui kinachoendelea kama walishaita watu kwaajili ya Oral interview au la!
Wenye updates watujuze jaman!
Bora tu niendelee kuwa muoga kuliko kujisumbua kwenye hakuna
Kuwa na subira mkuu,kwa BOT INTERVIEW unaweza ukasubiri hata miezi 6,mimi nimeishawai kufanya interview mbili,written na oral,una apply kazi leo,then unasubili hata miezi sita ndio wanakuita,kwa ufupi wanautaratibu mrefu wa recruitment,
kwa ushauri kidogo kwenye interview ya oral,inakuwa na panelist kati ya watano mpaka wanane,kila mtu anakuuliza swali moja,na ni maswali yaliojikita zaidi katika ufahamu wako kuhusu BOT,BOT nini,wanafanya kazi gani,na mambo kama hayo.cha muhimu ni kukaa standby tu,kingine kizuri nauli yako unarudishiwa kama umetoka mikoani nje ya DAR.
Habari wana JF makini!!
Mwezi may rafiki yangu alipigiwa cm toka bot akafanye written interview then waliambiwa kuwa watakao faulu watapigiwa cm .
Mpaka sasa hajui kinachoendelea kama walishaita watu kwaajili ya Oral interview au la!
Wenye updates watujuze jaman!