Hizo tropical cyclones ni ngumu sana kupiga nchi kavu, huwa vinafia huko huko majini au mara chache kuleta madhara ambayo si makubwa kama tunavyosikia huko majuu...
Siku zote huwa najiuliza haya majina ya vimbunga ni Nani huvitambua majina na iweje jina la kimbunga alijue?au Kuna Mambo nyuma ya pazia maana mwanadamu kuingilia kazi ya mungu