Updates; Kamanda Mawazo aipotezea mwelekeo CCM

Updates; Kamanda Mawazo aipotezea mwelekeo CCM

CHADEMA for life!Go Chadema,go Kamanda Mawazo!This nasty party(CCM) should go to hell!Big hole of hell is just waiting for it.
 
Tunamtakia kila lililo jema katika kutekeleza majukumu yake aliyokabidhiwa hakika ameonesha kuyaweza/kuyamudu.
 
Huyu kamanda MAWAZO hana tofauti na CHE GUAVARA!
 
Ninachompendea huyu MAWAZO ni mtu wa kazi...Yeye anaweza field works si mtu wa ofisini....safi sana..CDM tunahitaji kuwa na watu wa namna hii wengi sana....
 
Baaada ya kamanda Alphonce Mawazo na timu yake kuwasili katika kisiwa cha Iyumbo,kilichopo katika jimbo la Muleba kaskazini mkoani Kagera na kupiga mkutano mkubwa ukiambatana na maandamano makubwa ya shangwe toka kwa wafuasi wa CHADEMA katika mitaa ya kisiwa hicho kumepelekea muendelezo wa masikitiko na majonzi ya kuondokewa na mamia ya wanachama wa CCM katika kanda ya ziwa na hivyo kupelekea kupoteza muelekeo wa chama hicho katika mikoa na wilaya za kanda ya ziwa.

Kamanda Mawazo na timu yake pamoja na makamanda wengine wengi toka Muleba hivi sasa wamepanda Mtumbwi uliopambwa bendera kibao za CHADEMA kuelekea visiwa vingine zaidi,ambapo kesho watapiga mikutano mingine na kukuendelea kupokea wanachama wapya wa CHADEMA katika visiwa vya ISENYI na LUSHONGA.

VIVA CHADEMA,VIVA KAMANDA MAWAZO.

.
Huyu kamanda Mawazo ni nguzo miongoni mwa nguzo zilizokishikila chadema. Wakati masalia wakipoteza mda kwa kuuza sura kwenye media mijini, yeye yuko front msituni akikusanya nyara. MIA!!!
.
 
Ana taaluma gani huyu kijana?

Mara nyingi watu jobless ndio huwa na muda wa kuzurura...
 
Kwa mjibu wa taarifa toka kwa Mawazo ni kuwa leo ameweza kuvuna wanachama wapya 200 na wanachama 60
kutoka ccm . Hii amsha amsha amefanyika katika visiwa vya Lyumbo,Mchangani na Isenyi katika Jimbo la Muleba Kaskazini. Haya ni matokeo ya Ziara ya siku mbili ambapo kesho ziara hiyo itaendelea katika visiwa vya Lushoga, Nyabulo na Kinagi. Hii ndo hali halisi kuhusu yale yanayo jiri Wilayani Muleba. My take :- Time will tell .
 
Kwa mjibu wa taarifa toka kwa Mawazo ni kuwa leo ameweza kuvuna wanachama wapya 200 na wanachama 6
kutoka ccm . Hii amsha amsha amefanyika katika visiwa vya Lyumbo,Mchangani na Isenyi katika Jimbo la Muleba Kaskazini. Haya ni matokeo ya Ziara ya siku mbili ambapo kesho ziara hiyo itaendelea katika visiwa vya Lushoga, Nyabulo na Kinagi. Hii ndo hali halisi kuhusu yale yanayo jiri Wilayani Muleba. My take :- Time will tell .
 
Baaada ya kamanda Alphonce Mawazo na timu yake kuwasili katika kisiwa cha Iyumbo,kilichopo katika jimbo la Muleba kaskazini mkoani Kagera na kupiga mkutano mkubwa ukiambatana na maandamano makubwa ya shangwe toka kwa wafuasi wa CHADEMA katika mitaa ya kisiwa hicho kumepelekea muendelezo wa masikitiko na majonzi ya kuondokewa na mamia ya wanachama wa CCM katika kanda ya ziwa na hivyo kupelekea kupoteza muelekeo wa chama hicho katika mikoa na wilaya za kanda ya ziwa.

Kamanda Mawazo na timu yake pamoja na makamanda wengine wengi toka Muleba hivi sasa wamepanda Mtumbwi uliopambwa bendera kibao za CHADEMA kuelekea visiwa vingine zaidi,ambapo kesho watapiga mikutano mingine na kukuendelea kupokea wanachama wapya wa CHADEMA katika visiwa vya ISENYI na LUSHONGA.

VIVA CHADEMA,VIVA KAMANDA MAWAZO.

Jamani huyu BIGMAN anapiga mzigo, Hongera zake, God will make him someone one day!!! KEEP IT UP!
 
Baaada ya kamanda Alphonce Mawazo na timu yake kuwasili katika kisiwa cha Iyumbo,kilichopo katika jimbo la Muleba kaskazini mkoani Kagera na kupiga mkutano mkubwa ukiambatana na maandamano makubwa ya shangwe toka kwa wafuasi wa CHADEMA katika mitaa ya kisiwa hicho kumepelekea muendelezo wa masikitiko na majonzi ya kuondokewa na mamia ya wanachama wa CCM katika kanda ya ziwa na hivyo kupelekea kupoteza muelekeo wa chama hicho katika mikoa na wilaya za kanda ya ziwa. Kamanda Mawazo na timu yake pamoja na makamanda wengine wengi toka Muleba hivi sasa wamepanda Mtumbwi uliopambwa bendera kibao za CHADEMA kuelekea visiwa vingine zaidi,ambapo kesho watapiga mikutano mingine na kukuendelea kupokea wanachama wapya wa CHADEMA katika visiwa vya ISENYI na LUSHONGA. VIVA CHADEMA,VIVA KAMANDA MAWAZO.[/QUOTE Hana kipya cha kuweza kuambia watu mijini,ndio maana anakimbilia vijijini kwa watu wengi wasio na uwezo wa kuchambua mwanasiasa wa kweli na wa uongo.
 
Baaada ya kamanda Alphonce Mawazo na timu yake kuwasili katika kisiwa cha Iyumbo,kilichopo katika jimbo la Muleba kaskazini mkoani Kagera na kupiga mkutano mkubwa ukiambatana na maandamano makubwa ya shangwe toka kwa wafuasi wa CHADEMA katika mitaa ya kisiwa hicho kumepelekea muendelezo wa masikitiko na majonzi ya kuondokewa na mamia ya wanachama wa CCM katika kanda ya ziwa na hivyo kupelekea kupoteza muelekeo wa chama hicho katika mikoa na wilaya za kanda ya ziwa. Kamanda Mawazo na timu yake pamoja na makamanda wengine wengi toka Muleba hivi sasa wamepanda Mtumbwi uliopambwa bendera kibao za CHADEMA kuelekea visiwa vingine zaidi,ambapo kesho watapiga mikutano mingine na kukuendelea kupokea wanachama wapya wa CHADEMA katika visiwa vya ISENYI na LUSHONGA. VIVA CHADEMA,VIVA KAMANDA MAWAZO.[/QUOTE Hana kipya cha kuweza kuambia watu mijini,ndio maana anakimbilia vijijini kwa watu wengi wasio na uwezo wa kuchambua mwanasiasa wa kweli na wa uongo.

Hata kunukuu thread kunakushinda ndiyo maana huelewi kitu
 
Back
Top Bottom