UPDATES: Hali ya hewa jijini Dar es Salaam

UPDATES: Hali ya hewa jijini Dar es Salaam

dabluz

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2013
Posts
2,455
Reaction score
1,676
Jamani hali ya mbagala sio shwari kabisa.. nimasaaa matatu sijaweza kuvuka daraja la mzinga kwenda Kongoe kwa foleni iliopo.. wahusika waje watoe msaada
 
Wakuu tuishio jiji letu la dar..poleni kwa mvua..je saa hii uko mitaa gani na foleni inaendeleaje na mvua hii...vp wazee wa feva wanavutavuta foleni au wamesepa...?!
 
Pole sana mkuu


Watu wa kongoe , mzinga na kuendelea tumekuwa tukitaabika sana kwenye hili eneo. Ikitokea ajali ujue mtakesha hapo hakuna namna yakupita. Sioutani kuanzia saa tisa kasorobo nipo hapa mbagala hata darajani sijafika hadi sasa.
 
Hahaha Bujibuji acha utani, askari waje waongoze magari watu wamepigana pini mbaya..
 
nipo airport naelekea Kitunda km una gari ndogo plz omba ushauri wa kupita maeneo ya madimbwi vinginevyo utazama hali ni tete km bahari ndogo mtaani..
 
Watu wa Kimara na Mbezi tujuzeni hhali ya Ubungo kabla hatujaamua kupitia nyumba ndogo mabibo
 
Watu wa kongoe , mzinga na kuendelea tumekuwa tukitaabika sana kwenye hili eneo. Ikitokea ajali ujue mtakesha hapo hakuna namna yakupita. Sioutani kuanzia saa tisa kasorobo nipo hapa mbagala hata darajani sijafika hadi sasa.
Pole sana, hiyo hadi unafika nyumbani unakuwa hoi sana. Kwa kweli mimi na wewe hatuna la kufanya au kubadilisha, tatizo wahusika wakuu wanafumbia macho
 
Huku mwenge ni balaaa

Walitoa tahadhari jana
 
Back
Top Bottom