Updates from TRA

Updates from TRA

hiv tatzo ni nin hasa had kaz kuanzia kuomba had usahil ichukue mwaka ni kwamb wan uhakika wa kwamba waombaj wapo mda wote au
 
wametoa nyingine so it will tk forever hadi kuitwa
 
Kuna wengine wapo bado training pale ITA mpaka wamalize na kupangiwa vituo vya kazi nadhan maana hata wangeita mapema watakaopata wangesubiri tena mpkbwa training wamalize
 
Jamani hawa TRA vip mbona wako kimya tuu, mpaka lini wanashortlist?

Anaejua

Mkuu alhamisi nilikua ikulu kwa shughuli zangu za kiofisi,nilichokishuhudia ni kikundi cha watu kutoka bagamoyo na chalinze wakiorodhesha referensi namba zao kwa ajili ya hizo post za tra
 
Mkuu alhamisi nilikua ikulu kwa shughuli zangu za kiofisi,nilichokishuhudia ni kikundi cha watu kutoka bagamoyo na chalinze wakiorodhesha referensi namba zao kwa ajili ya hizo post za tra

Mhhhhh sina uhakika na hili,maana mamlaka ya mapato tanzania,wakikuhitaji kwenye usaili wao wanakutumia mail!!
 
Nafasi za Tax officer na assistantbwanataka upper second ukiwa na lower means automaticy umedisqualify

Kijana mdau acha kuongea uongo wapo jamaa zangu nilisoma nao wana lower second na mwingine ana pass mbona wameajiliwa pale mwaka juzi
 
First class na Upper second nyingi za tanzania ni za vitandani tu
 
nimepata fununu soon yanatoka wanaitajika watu 300 ila GPA inamata hapo
Hamna cha GPA wala nini...TRA walishaachana na hizo issue kitambo sana,ukiwa na minimum qualifications system ina ku approve kwa written interview ukajitetee huko,wanaangalia uwezo siku hizi,wameshaona kuna vyuo,mathalani UDSM na IFM GPA zinabanwa tena kimakusudi ilihali watu wana uwezo wakati wanaopewa GPA kubwa chenga tu!
 
watu wa chuo cha kodi ITA wanaajiriwa moja kwa moja toka chuo na TRA. Kwa mfano waliomaliza mwaka huu mwezi wa saba wengi wao nafasi zao ziko wazi. Kuamini sio lazima
 
Back
Top Bottom