Update....mnapeana?!

Update....mnapeana?!

Kwakweli majimbo ya uchaguzi yanakazi,wananchi sometimes wanamaswali usipokua mweledi unaweza kukoroga mambo hata kama ni mtoko mmeenda na gari moja mwingine anaweza akarudi na taxi lol
 
halafu hili la we need to talk umeling'ang'ania sana
litakuharibia mahusiano..

mazungumzo mazuri ni yale ambayo hayakupangwa,tena sometimes ni ya mzaha mzaha
hivi au utani utani hivi l...hapo hapo unamchomekea mtu pointii muhimu

Halafu ukikuta Mtu wa hapo red huyu hata kama ni small issue utasikia we need to talk....mie neno hili nimetokea kutolipenda kabisa...
 
Halafu ukikuta Mtu wa hapo red huyu hata kama ni small issue utasikia we need to talk....mie neno hili nimetokea kutolipenda kabisa...

Tatizo kuna watu wanaamini kuwa matatizo ya mahusiano yanamalizwa kwa kuweka vikao. Kwa taarifa tu nikuwa ukiweka vikao vya kuongea ndipo unayaanza matatizo...
 
I agree with you madam, but life has changed alot! Ni muhimu kufanya hivyo, lakini majukumu na vikwazo vya maisha hubadilisha kila kitu hususan suala zima la kujaribu kutafakari na kukumbuka jinsi zamani ilivyokuwa. Mara nyingi watu hujitahidi kuepuka migongano pamoja na mambo yote yanayoweza kuleta mikwaruzano ili waendelee kuishi kwa amani, na kuheshimiana siku zote wakiwa hai.
 
Wazungu wanasema "If it's not broken don't fix it". Kama kila kitu kiko shwari basi ni mwendo mdundo. Ila kama kuna yanayojitokeza hapo tutayajadili wenyewe
 
halafu hili la we need to talk umeling'ang'ania sana
litakuharibia mahusiano..

mazungumzo mazuri ni yale ambayo hayakupangwa,tena sometimes ni ya mzaha mzaha
hivi au utani utani hivi l...hapo hapo unamchomekea mtu pointii muhimu
Yaani hata mie nikiambiwa we need to talk, huwa napata mawzo
ni kweli kabisa uliyosema hapo juu yanaleta maana
 
halafu hili la we need to talk umeling'ang'ania sana
litakuharibia mahusiano..

mazungumzo mazuri ni yale ambayo hayakupangwa,tena sometimes ni ya mzaha mzaha
hivi au utani utani hivi l...hapo hapo unamchomekea mtu pointii muhimu

Mi naunga mkono hapo.Tena kwa njia hiyo mtu anakuwa hajajiandaa/hajaandaa majibu wala kutegemea utakayoongea.
Kama kuna swali unamuuliza,hapa utapata unprepared answers,ie mara nyingi majibu ya KWELI yanapatikana kwenye mazingira haya.
 
ukwel we umegusa pa ukwel kabisa maan mpenz ukimwambia kuwa tujadili yeye a atajua wewe umepata mwingine hivyo unatafuta sababu
 
Huo muda utoke wapi?? ikitokea shida ndo tunaulizana lakini kama mambo yako sawia maisha yanakwenda

Watu wengine hawataki kuambiwa "We need to talk"

YAani hii thread ya Lizzy imenifanya nifikirie mara mbili mbili..je Mapenzi ni nini...maisha au kazi
Najaribu kuwaza masuala ya Feed Back .............napata hisia ya niko kazini tena ofisini kwa Boss..... duh

Nadhani you are right, we need to have the time for feed back but just because huwa hatuweki viti na meza katikati na kudiscuss seriously haimaanishi hatuna feedback mydia...........feedback hutolewa tunapokoseana...utasikia siku hizi umebadilika sana,,,,,huko kama zamani!! mwe na usipokuwa mkaidi wa kuuliza umebadilikaje utaishia kupata nusu feedback
 
na hata 2kipata huo muda bado tutaambiwa mambo shwari hakuna tatizo, ni wachache sana watatoa ushirikiano, wacha tusubirie tu tumbwili likitokea ndio tuweke mambo sawa hayo mengine hatutapeana majibu dhabiti.

Haswaa maana kuanza kuuliza uliza nako kunazua msala...........
 
Dah! Ngoja leo nimtafute tupeane update.
Ahsante lizzy kwa kutukumbusha.
 
na hata 2kipata huo muda bado tutaambiwa mambo shwari hakuna tatizo, ni wachache sana watatoa ushirikiano, wacha tusubirie tu tumbwili likitokea ndio tuweke mambo sawa hayo mengine hatutapeana majibu dhabiti.

:biggrin1:
 
Updates huwa ziko kama hivi:

Mke: Pesa ya mafundi usisahahu
Mke: Baba alipiga simu anasema umtumie pesa ya matibabu
Mke: Bill za maji, umeme, usisahau kwenda kulipia
Mke: Mchango wa Harusi ya mdogo wangu mwisho jumamosi
Mke: Nikitoka kazini napitia sokoni

Mme: SAWA!
 
Updates huwa ziko kama hivi:

Mke: Pesa ya mafundi usisahahu
Mke: Baba alipiga simu anasema umtumie pesa ya matibabu
Mke: Bill za maji, umeme, usisahau kwenda kulipia
Mke: Mchango wa Harusi ya mdogo wangu mwisho jumamosi
Mke: Nikitoka kazini napitia sokoni

Mme: SAWA!

Ha ha ha ha ha ha ha ha uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ha ha ha ha ha ha u made my day kha!!!!
 
Updates huwa ziko kama hivi:

Mke: Pesa ya mafundi usisahahu
Mke: Baba alipiga simu anasema umtumie pesa ya matibabu
Mke: Bill za maji, umeme, usisahau kwenda kulipia
Mke: Mchango wa Harusi ya mdogo wangu mwisho jumamosi
Mke: Nikitoka kazini napitia sokoni

Mme: SAWA!

lol,huyo mwanaume wa kuitikia ivyo yupo/wapo kweli???
 
You can review it by going somewhere mbali kidogo na nyumbani (kama pesa ya kufanya hivyo ipo)....Huko mnaweza kuongea taratibu bila ya kuwa na ile ''state ya we need to talk''. Mara nyingi binadamu anaweza kufunguka yale yaliyomo moyoni mwake kirahisi zaidi akiwa ''ame - relax'' kuliko akiwa kwenye tension.

Mambo ya ''we need to talk'' hayachelewi kupelekea statements kama ''I don't see this relationship taking us anywhere''....!!

umesahau kumalizia " As it does not work anymore"
 
Back
Top Bottom