Benaire
JF-Expert Member
- Dec 13, 2011
- 1,962
- 312
Akili yako ndio imeishia hapo ?? Kweli tuna kazi kubwa sana ya kufuta ujinga hapa nchini .
Mnafuta ujinga kwa kufuata theory za Sheikh Yahya na mawazo ya Prof.maji marefu.....
Akili yako ndio imeishia hapo ?? Kweli tuna kazi kubwa sana ya kufuta ujinga hapa nchini .
Wafata mkumbo wa CDM hamuwezi kunielewa hata siku mmoja maana vichwa vyenu vimejaa viroba .
Badala ya mimi kutafuta hela niisaidie familia yangu eti nikaandamane . Huu ni upuuzii uliotukuka . Wajinga ndio wafuate mawazo yako .
Yule first lady mwalimu alimchota mpiga muziki yule wakizaire. Yule msanii akatunga wimbo wenye jina la mwalimu. Of course alikuwa bado hajawa first lady. Ushuhuda unaonyesha mwalimu akimpatia kijana zawadi keme kem hasa akienda kwenye show zake. Fastjet akiwa anakula bata mitaa mbali mbali mama akaamua kumega kijana.
Habari zikamfikia mwenye mali, bahati akawa rais na kama utani vile, familia yote ikafungwa maisha. Huyu ndie fastjet aliyeletwa kwetu na sisi wenyewe. Nakubaliana na wewe mkuu, presida ana chuki, na visasi zaidi ya Boko haram.
Naitwa mdudu , mtu mwenye kuishi kwenye nyumba pekee yenye choo ndani kwa ndani.
"KAZI YA MOYO NI NINI, KUISHI AU KUFA'' HAAHAHH napenda kuimba leo jamani. Muungano etii.
Salima ooh salima ooh. ULINIDANGANYA , NIKAKUPENDA WEWE , OOH SALIMA WANGU EEH,,,,,,
Afadhari wewe uliyetulia kama kaburi na vilivyomo.Sina uoga wowote ila mimi sio bendera fuata upepo kama wewe .
Badala ya mimi kutafuta hela niisaidie familia yangu eti nikaandamane . Huu ni upuuzii uliotukuka . Wajinga ndio wafuate mawazo yako .
Badala ya mimi kutafuta hela niisaidie familia yangu eti nikaandamane . Huu ni upuuzii uliotukuka . Wajinga ndio wafuate mawazo yako .
Usimdanganye wewe. Hakuna mafanikio yanayokuja kupitia vyama vya siasa. Wote ni waganja njaa tuHujui kuwa kama system ikiwa nzuri hata hauitaji kutoa jasho ili kufanikiwa? . Jiunge na wenzako uboreshe maisha yako na ya kizazi chako.Hii ni kama uko sincere na wewe siyo imposter!
namtakia heri kamanda lema,Mungu azidi kumpa nguvu na ujasiri,freedonm is coming tomorrow!!!!!!!!!!!!
hakuna nidhamu mbaya kama uoga!
una akili mbili tu.ya kuvalia nguo na kuvukia barabara.hata hivyo mapinduz huwa haya letwi na watu wanafik kama ww.we lala ndani na mkeo si tipige kazi