UPDATE : Hatimaye mambo yamekaa vizuri kwa upande wangu na binti

UPDATE : Hatimaye mambo yamekaa vizuri kwa upande wangu na binti

Quimica

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2018
Posts
1,117
Reaction score
1,391
Kama ulifatilia, niliwahi kupost kuhusu mpenzi wangu kupelekwa na wazazi wake kwenye mafunzo ya Depo Polisi mkoani Kilimanjaro

Thread yenyewe ni hii: Mchumba wangu ameenda CCP Moshi

Leo nataka niwape update ya kile kilichotokea.

Mpenzi wangu alienda Depo wakati mimi nikiwa nina stress sana wakati nasubria majibu yangu ya scholarship ya kusoma Uingereza kwa level ya masters ambapo niliiomba nikiwa mwaka wa mwisho wa degree yangu.

Baada ya siku chache kupita baada ya binti kuondoka nakuacha simu nyumbani , polisi mmoja alifika hospitali niliyokuwa nafanyia internship.

Nikamsalimia, nikamueleza shida yangu, nikamuomba anisaidie mawaasiliano ya askari aliyepo Depo Moshi ili niweze kuongea na mpenzi wangu japo nilimwambia ni ndugu , na kweli alinisadia.

Tangu siku hiyo nikawa napiga simu kila mwezi, na nilihakikisha namtumia hela za matumizi ili angalau asipate shida zinazoepukika .

Kila tukiongea ampenzi wangu uniambia :
“Nakuombea kila siku.”

Nakumbuka kabla ya scholarship kutoka alivyokuwepo uraiani, alikuwa akinitia moyo sana na kuniambia nisihofu nakuniambia maneno mazuri sana.

Mara ya pili baada ya mwezi kupita nilipiga Depo na ilikuwa kumpa habari njema kuwa nimepata scholarship ya kwenda Uingereza.

Mungu amenitendeaaa!!!

Alifurahi sana sanaaa ! Nikamwambia hatimaye tumebadilisha maisha yetu we were so happy huku upendo ukizidi kuongezeka nikamwambia kwamba mwez unaofata ntaanza safari kwenda London Kufanya masters yangu , alinitakia baraka nakuniambia

" Nakupenda Mume wangu "

Mwezi uliofata kabla sjasafiri nilijaribu kupiga simu ila changamoto ni kwamba polisi wengine wana roho ngumu sana.

Kuna mmoja alianza kumwonea wivu mpenzi wangu sababu namtumia hela akani-block kabisa just imagine

Lakini sikuacha, kila mwezi nilitafuta polisi mwingine anisaidie. Lengo langu lilikuwa moja tu: kumhakikishia yupo salama na anaendelea vizuri.

Now niko London Masomo yanaendela mungu ni mwezi

Ni takribani miezi mitano toka binti awepo depo na Mungu alitusaidia tukapata polisi mmoja mwema sana, wa kiume, ambaye nikimtumia vocha kama ahsante kinamna hivi ananiunganisha na mpenzi wangu namsupport , anampa hela, na anahakikisha nimeongea naye japo anajua mimi ni ndugu wa binti.

Na kwa kweli haya yote yamenifanya nione kuwa si kila polisi ni mbaya

Mimi na mpenzi wangu tunaendelea vizuri.
Upendo umeongezeka mno.
Na najua mwakani mapema nitarudi Tanzania kumuoa bila sherehe , tu baraka za wazazi. Sherehe kubwa baadaye nikirudi baaada yakumaliza masomo.

Najua polisi hawaruhusiwi kuolewa kabla ya miaka mitatu, lakini tumeshakubaliana: nitamfungulia biashara, aachane na hiyo kazi ngumu na ambayo inamambo mengi ukilinganisha na yaliyotokea Tanzania .

Baada ya kupata mtoto nae , nitampeleka mama watoto chuo asome online apate degree yake hata ya bussiness administration, maisha yaendelee.

Kwanini nimeandika hii stori?

1. Kwa sababu wanawake wazuri na wanaojitambua bado wapo.

Mpenzi wangu ni mpole, msafi, mzuri, anajiheshimu, na sio mtu wa kujipiga piga picha mitandaoni, anajua namna yakuongea na mimi vizuri yani sijawahi kugombana nae hata siku moja sababu she is so perfect bro.

2. Mwanaume akipenda kweli huwa anajitoa.

Nimehangaika kuwapigia polisi zaidi ya watano wengine wabaya kiroho, wengine wazuri lakini yote kwa sababu nataka tu kuhakikisha yupo salama.

3. Nimeamua kutojali negativity.

Wengine waliandika mabaya sana: “mtaachana”, “ata-cheat”, “amekupoteza”.
Lakini ukweli ni kwamba umbali huu umefanya mapenzi yetu kuwa imara zaidi.
Na baada ya yeye kumaliza masomo, nitakuja Tanzania kwenye graduu yake ili nihakikishe hata ile mizuka tunaipunguza kidogo😄

4. Kupenda ni kusaidiana, sio ubinafsi.

Sikutakiwa kureact awali bali ningetakiwa kumsikiliza nakumuelewa kwamba sio mapenzi yake kwenda huko depo bali ya familia na maisha kama alivyonisisitiza , kuna mtu comment yake ilikuwa kwamba ni muhimu kusuuport ndoto na kumsikiliza mpenzi wako kabla ya wewe kulazimisha unayoyataka na kwel nimekuwa namuuliza anataka nini zaidii ya mimi nataka nini , na ukwel ni kwamba hata mtazamo wake umebadilika na ni kwamba anatimiza ya wazazi ila tumeshakubaliana kwamba hyo kazi hatakuja kuifanya ntamfungulia biashara.

5. Mapenzi ya kweli yapo.

Niko London, wazungu wako wakutosha , sio ngumu hata kuwapata.
Lakini sitamani sababu nadhamini safari yangu mimi na yeye na amekuwa mwanamke bora sana , like how namuacha a perfect woman?
Haiwezekani

Upendo wangu kwa mwanamke wangu unanifanya nikae committed mno

Believe me Wanaume tunaojitambua hatucheat kabisa .

Inshallah post yangu inayofuata itakuwa kuhusu ndoa yetu, kwa sababu najua kabisa nitaishi maisha mazuri na yenye furaha akiwa mke wangu.

She is the best thing that has happened to me lakini pia nimejiandaa kwa lolote kwamba mfano akiamua kuishia njiani maana najua hawa viumbe hawatabiriki najua sitaweza kuchanganyikiwa au kujiua sjui au kupata depression bali ntachukua mwingine maana wapo wengi sana na ni muhimu kutoweka 100% expectactions , ila kikubwa nimejiwekea kichwani kwamba " Labda aniache yeye ila sio mimi kumfanyia ujinga maana amekuwa mwema mno na sitoacha kumsupport " ili siku akizingua nikiacha nae ajilaumu yeye mwenyewe mimi nisiusike

Therefore Nimeingia kwenye list ya wanaume waliobarikiwa kwenye mahusiamo mwaka 2025😁

Inshallah Najua Tutafika. Ntawaupdate Ndoa on my next post.

Asanteni kwa kusoma.
 
Unaonekana soft soft sana..

Natabiri kuna siku utakuja na uzi wa kilio humu ndani.
Bro mimi sio soft mzee ni kwamba mimi sipendi uhuni na kuchezeana hisia , Nikwambie tu kwamba nilipata misiba miwili ndani ya miezi mwili , hakuna kitu kitakujaga kuniuzunisha kama hyo misiba ya wazazi wangu tena ,

Wanaume wote wenye malengo ambayo tunataka kuitimiza sio malaya ni lazima tuzingatie kutengeneza familia bora ikiwemo kuepusha kuzaa zaa na wanawake mbalimbali ovyoovyo, Ahsante .
 
Bro mimi sio soft mzee ni kwamba mimi sipendi uhuni na kuchezeana hisia , Nikwambie tu kwamba nilipata misiba miwili ndani ya miezi mwili , hakuna kitu kitakujaga kuniuzunisha kama hyo misiba ya wazazi wangu tena ,

Wanaume wote wenye malengo ambayo tunataka kuitimiza sio malaya ni lazima tuzingatie kutengeneza familia bora ikiwemo kuepusha kuzaa zaa na wanawake mbalimbali ovyoovyo, Ahsante .
Kijana, tengeneza maisha yako kwanza. Achana na u-simp!
 
Bro mimi sio soft mzee ni kwamba mimi sipendi uhuni na kuchezeana hisia , Nikwambie tu kwamba nilipata misiba miwili ndani ya miezi mwili , hakuna kitu kitakujaga kuniuzunisha kama hyo misiba ya wazazi wangu tena ,

Wanaume wote wenye malengo ambayo tunataka kuitimiza sio malaya ni lazima tuzingatie kutengeneza familia bora ikiwemo kuepusha kuzaa zaa na wanawake mbalimbali ovyoovyo, Ahsante .
unasoma degree London England lakini haujui hata maana ya malaya. nikutoe tongotongo hakunaga mwanaume malaya duniani. mwanaume anaweza kuoa wanawake watatu na akawapa wote upendo sawasawa,kwa mwanamke hiyo haipo,mwanamke mwenye mpenzi zaidi ya mmoja huyo ni malaya lakini mwanaume mwenye mpenzi zaidi ya mmoja huyo ni rijali. take note,unavyosema unajitunza,unajitunza kwa kipi? mwanamke anajitunza kwa mengi. 1.kutumika 2.kuharibiwa kwa uke 3. ujauzito wewe mwanaume unajitunza kwa kipi?
 
Asilimia kumi kati ya mia wapenzi waliopo masomoni huja kuoana. Mara nyingi yupo nawe kukidhi haja ya mahtaji ya muhimu shuleni,na nakuhakikishia analiwa na washikaji hapo alipo,usiteswe na ongea yake. Cha kukushauri tafuta mzungu hukohuko uoe,wazungu wengi wana mapenzi ya kweli.
 
unasoma degree London England lakini haujui hata maana ya malaya. nikutoe tongotongo hakunaga mwanaume malaya duniani. mwanaume anaweza kuoa wanawake watatu na akawapa wote upendo sawasawa,kwa mwanamke hiyo haipo,mwanamke mwenye mpenzi zaidi ya mmoja huyo ni malaya lakini mwanaume mwenye mpenzi zaidi ya mmoja huyo ni rijali. take note,unavyosema unajitunza,unajitunza kwa kipi? mwanamke anajitunza kwa mengi. 1.kutumika 2.kuharibiwa kwa uke 3. ujauzito wewe mwanaume unajitunza kwa kipi?
nasoma degree ya pili-Masters

Mkuu hyo ni defintion yako UMALAYA SIO URIJALI AHSANTE. Mwanaume malaya umalaya wake ndo utamponza yeye mwenyewe , wewe fanya ila mimi nimekataaa I will stick with one person.Hyo definition ni ya kwako haipo popote.
 
Asilimia kumi kati ya mia wapenzi waliopo masomoni huja kuoana. Mara nyingi yupo nawe kukidhi haja ya mahtaji ya muhimu shuleni,na nakuhakikishia analiwa na washikaji hapo alipo,usiteswe na ongea yake. Cha kukushauri tafuta mzungu hukohuko uoe,wazungu wengi wana mapenzi ya kweli.
umeongea ujinga mkuu, ukiassume kila mtu analiwa hata ndoa zingekuwa hazifanyiki be positive , Ushauri huo sichukui , na hyo research yako sio kwel ahsante
 
Back
Top Bottom