Mdau, swali la muhimu hilo ngoja tusubiri majibu. Kwa ujumla mie nina uzoefu na tofari za kupanga bila cement (hydraform). yana advantages zifuatazo: 1. Hayahitaji maji wala cement wakati wa kujenga, 2. Yanahimili "settlement" hayapati cracks kirahisi yanafanya kujiset kama ardhi itatitia -- ila msingi inabidi utumie tofari za kawaida au mawe. 3. yanafaa kutumia kwenye partitions ambazo hazihitaji kuta nzito. 4. Yanahamishika kirahisi ..... na mengineyo mengi.
UNAMAANISHA ZILE ZA hydraform?kuna jamaa angu anafanya hii biashara. Bei yake ni Tsh 200 kwa tofali moja...
Pale National Housing Building Agency wanauza tofali 1 sh 400 (hydroform)mkuu vipi bei za matofari haya ukilinganisha na zile za choma na cement(kufyatua)
kuna jamaa angu anafanya hii biashara. Bei yake ni Tsh 200 kwa tofali moja...
Pale National Housing Building Agency wanauza tofali 1 sh 400 (hydroform)
UNAMAANISHA ZILE ZA hydraform?
Wapo mwenge karibu na ofisi za jeshi kabla hujafika sheli ya pale watu wanapopandia mabasi ya kwenda bagamoyo.hawa wanapatikana wapi? naona bei yao ni nzuri sana. huku mtaani wanatuuzia kwa 700@ 1
naomba contacts kama unazo
Wapo mwenge karibu na ofisi za jeshi kabla hujafika sheli ya pale watu wanapopandia mabasi ya kwenda bagamoyo.
Mkuu kuna mtu ameniambia yanapatikana Gongo la mboto ila hajui ni sehemu gani hasa. Hebu tafiti au kama kuna mdao humu anatokea mitaa hiyo atujuze. Nimeambiwa kuna kiwanda huko.Habari wadau,
Naomba kuuliza kwa Dar naweza kupata wapi matofari ya kuchoma. Yeyote anayefahamu anijuze na gahara yake.
Pia kama mnajua yale ya kuunga kwa Cement na yale ya kuchomeka, yapi ni imara na yanayopendeza?
Karibu kwa mwenye kujua hili.
kuna jamaa angu anafanya hii biashara. Bei yake ni Tsh 200 kwa tofali moja...
BTW
Ivi huwa ni tofali au tofari?