Mama Mdogo
JF-Expert Member
- Nov 21, 2007
- 2,962
- 2,138
IGP mwema asipojiuzulu, basi hatuna serikali wala bunge. Hii sasa imefika kikomo, siwezi kuamini haya yanafanyika ndani ya nchi yetu. Serikali ya C.C.M ndio chimbuko la haya yote....Heri nitupe kura yangu chooni kuliko kuipigia ccm kura 2015
Uhuru, Asante kwa taarifa inayofafanua mustakabala na hatima ya amani nchini mwetu!!!