Jeshi la Polisi limechafuka kwakipindi kirefu sana sasa. Kuanzia kipindi cha Mahita. Badala ya kulisafisha wao wanahamishwa vituo tu. Kumbuka kamanda Chico wa mkoa wa Kilimanjaro alivyokuwa anashirikiana na majambazi kuiba magari, sijui kama yale mabasi yake ya Chico bado yapo au wamebadilisha majina. Baada ya scandle alihamishiwa DSM, nafikiri kwa sasa yuko usalama wa taifa. Huyu Msangi katika hiyo barua amejibu kwa kebehi; inaonyesha kuna wakubwa wanamlinda ndio maana ana kiburi. Inawezekana hizo mali za wizi wanakula na wakubwa zao. Simuamini kabisa Mwema na wenzi. Infact jeshi zima la polisi limeoza- hamna wakumuamini tena. Ingawaje wanalipwa mshahara/wana maslahi duni ya kazi; lakini wana-benefit kwenye huu uharamia wanaoufanya ndio maana hawaoni sababu yakudai mishahara/mazingira mazuri ya kazi. Kuishi kwao nyumba duni ni kiini macho tu, hawa watu (hasa wakubwa wao) wana-illegal sources za income nyingi tu.
That is how far I understand, kwamba Ikulu ni genge moja na majambazi na wauza unga. Wala hakuna cha ajabu hapa. Ila sema ninajiuliza kama huyo aliyeandika hiyo barua ni askari or mtu wa kawaida, maana hofu yangu ni kwamba atauawa.Unashangaa nini na list ya wauza madawa ipo ikulu na hakuna hatua yeyote iliyochukuliwa
Duh mbona barua haijaanzia mwanzo, weka tuyaone hayo majina
Yani hata angekuwa ni kiongozi wa kanisa langu siwezi kumnyamazia na kumchekea kwa madudu haya,Alex, Moses and Patrick ..wale wale.
Jaman naomba mniambie kwa ufupi,,,barua inahusu nini,,,mimi natumia NOKIA 3310 SO SIONI CHOCHOTE,,,,,NIAMBIENI NICHANGIE