Uozo huu hauvumiliki SUA

Jul 16, 2011
26
1
Watoto wa wakulima Tanzania wamekua wakighilibiwa haki zao za msingi katika chuo kikuu maarufu nchini cha SUA. Moja ya haki hizo ni AFYA.Wanafunzi hua wanalipishwa shiling laki moja kwa ajil ya afya. Haijalishi mwanafunzi huyu kaumwa au la ni lazima hela hii ilipwe kwa kila mwaka. Chakushangaza zaidi ni kwamba endapo mwanafunzi ataugua,haijalishi ana hali gani kama hajalipa hela hiyo hakuna matibabu,kwa maana hiyo SUA inafacilitate vifo vya kizembe. Mbaya zaidi,kwakua mwanafunzi husika anadaiwa,hivyo kwa kuokoa maisha yake analazimika kutibiwa nje ya chuo kwa garama zake,na bado ataendelea kudaiwa na chuo. Kama hiyo haitoshi,hata yule aliyelipa huduma anayopatiwa haimridhishi kias kwamba afya za wanafunzi ziko hatarini. Mfano mtu anaweza akafikishwa hospitali ya chuo jion lakin atahitajika asubiri hadi kesho yake kwa huduma,bila kujali ana hali gani. Hali hii inawatia watu wasiwas wakuhudumiwa na zahanati hiyo ya chuo japokuwa wamelipa laki zao. Je hii ni haki? Yako mengi yanayofanywa na taasisi hii ya afya chuoni SUA ambayo ni kinyume na haki za binadamu na watoto wa wakulima. Tusaidiane watanzania kutetea watoto wa wakulima.. NAOMBA KUWASILISHA.
 
Jmani wenye uwezo ingilieni kati tibueni mambo bila kuogopq. Lakini SUA haina uongozi wa wanafunzi?
 
Watoto wa wakulima Tanzania wamekua wakighilibiwa haki zao za msingi katika chuo kikuu maarufu nchini cha SUA. Moja ya haki hizo ni AFYA.Wanafunzi hua wanalipishwa shiling laki moja kwa ajil ya afya. Haijalishi mwanafunzi huyu kaumwa au la ni lazima hela hii ilipwe kwa kila mwaka. Chakushangaza zaidi ni kwamba endapo mwanafunzi ataugua,haijalishi ana hali gani kama hajalipa hela hiyo hakuna matibabu,kwa maana hiyo SUA inafacilitate vifo vya kizembe. Mbaya zaidi,kwakua mwanafunzi husika anadaiwa,hivyo kwa kuokoa maisha yake analazimika kutibiwa nje ya chuo kwa garama zake,na bado ataendelea kudaiwa na chuo. Kama hiyo haitoshi,hata yule aliyelipa huduma anayopatiwa haimridhishi kias kwamba afya za wanafunzi ziko hatarini. Mfano mtu anaweza akafikishwa hospitali ya chuo jion lakin atahitajika asubiri hadi kesho yake kwa huduma,bila kujali ana hali gani. Hali hii inawatia watu wasiwas wakuhudumiwa na zahanati hiyo ya chuo japokuwa wamelipa laki zao. Je hii ni haki? Yako mengi yanayofanywa na taasisi hii ya afya chuoni SUA ambayo ni kinyume na haki za binadamu na watoto wa wakulima. Tusaidiane watanzania kutetea watoto wa wakulima.. NAOMBA KUWASILISHA.
  1. Wewe ni muongo na mchoganishi.
  2. Kwa ufahamu wangu, hiyo fund inasaidia sana wanafuzi na ilishawahi kuokoa maisha ya wanafunzi wengi, tena kuna mwanafunzi nakumbuka alishatibiwa kwa about 10 mil, je isingekuwa hiyo fund si angeweza poteza maisha?
  3. Hizo ndizo pumba ambazo wanafunzi huwa mnalishana, then mnaanza eti tugome! wewe piga shule! na fuatilia hili suala na uelewe katiba ya hii fund, na siyo kuleta upuuzi hapa kwa Great Thinkers.
 
Peleka matatizo yako kwenye serikali ya wanafunzi na siyo kuleta majungu hapa. We are busy kushughulikia matatizo ya mgao wa umeme na siyo ishu kama hiyo
 
Haa,weweeee....kwani mgao wa umeme humu WIZARA YA NISHATI?Ulivokua unaandka hapa ulitumia ubongo au utumbo wako?humu ni jukwaa la elimu,we unamzingua mwenzio hata huna aibu!kaaaaaaaah
Peleka matatizo yako kwenye serikali ya wanafunzi na siyo kuleta majungu hapa. We are busy kushughulikia matatizo ya mgao wa umeme na siyo ishu kama hiyo
<br />
<br />
 
  1. Wewe ni muongo na mchoganishi.
  2. Kwa ufahamu wangu, hiyo fund inasaidia sana wanafuzi na ilishawahi kuokoa maisha ya wanafunzi wengi, tena kuna mwanafunzi nakumbuka alishatibiwa kwa about 10 mil, je isingekuwa hiyo fund si angeweza poteza maisha?
  3. Hizo ndizo pumba ambazo wanafunzi huwa mnalishana, then mnaanza eti tugome! wewe piga shule! na fuatilia hili suala na uelewe katiba ya hii fund, na siyo kuleta upuuzi hapa kwa Great Thinkers.

Mkuu hata kama katiba ipo sidhani kama inasema kwamba mwanafunzi akiugua asipewe huduma nzuri mpaka aende akatafute huduma hio nje..., nadhani hapa haujamtendea haki mleta hoja, labda ungesema ni wapi amendanganya..., na sidhani kama jamaa amesema anataka kuandamana yeye ameongelea huduma mbovu ya mtu akiugua..,
 
Watoto wa wakulima Tanzania wamekua wakighilibiwa haki zao za msingi katika chuo kikuu maarufu nchini cha SUA. Moja ya haki hizo ni AFYA.Wanafunzi hua wanalipishwa shiling laki moja kwa ajil ya afya. Haijalishi mwanafunzi huyu kaumwa au la ni lazima hela hii ilipwe kwa kila mwaka. Chakushangaza zaidi ni kwamba endapo mwanafunzi ataugua,haijalishi ana hali gani kama hajalipa hela hiyo hakuna matibabu,kwa maana hiyo SUA inafacilitate vifo vya kizembe.

Sasandugu hapa ulitaka kutibiwa bure??

Mbaya zaidi,kwakua mwanafunzi husika anadaiwa,hivyo kwa kuokoa maisha yake analazimika kutibiwa nje ya chuo kwa garama zake,na bado ataendelea kudaiwa na chuo. Kama hiyo haitoshi,hata yule aliyelipa huduma anayopatiwa haimridhishi kias kwamba afya za wanafunzi ziko hatarini.
Chuo hakijui kama kama unatibiwa nje, Je umeshalipa Laki moja ya Chuoni alafu ukatibiwa nje na Chuo wakakudai pesa??


Mfano mtu anaweza akafikishwa hospitali ya chuo jion lakin atahitajika asubiri hadi kesho yake kwa huduma,bila kujali ana hali gan
i.

Umeshawahi kuriport kwenye serikali ya wanafunzi??, Kama jibu ni ndiyo ebu tuambie wamesemaje??

Hali hii inawatia watu wasiwas wakuhudumiwa na zahanati hiyo ya chuo japokuwa wamelipa laki zao. Je hii ni haki?


Yako mengi yanayofanywa na taasisi hii ya afya chuoni SUA ambayo ni kinyume na haki za binadamu na watoto wa wakulima. Tusaidiane watanzania kutetea watoto wa wakulima..

Ebu yaseme hayo mengine unayosema mengi ya kinyume na Haki za binadamu!, Haki za watoto wa wakulima ni zipi???

NAOMBA KUWASILISHA.

My advice, Hili jambo lilitakiwa lianzie kwenye serikali ya wanafunzi wao uwasikize wanasemaje, Hapa unaweza kupata mawazo tu na sio solution ya matatizo yenu, Na ukija hapa utatukuta akina sie tunaopenda kuchokono then utashindwa kujibu hoja utuone wabaya tu.
ZIADI Ya Unavofikiri
Alafu hiyo laki moja si ipo kwenye hela mnazopewa na Board ya mikopo, Inakuaje mwanafunzi ashindwe kuilipa tena??

Vituko uswahilini!
 
ZIADI Ya Unavofikiri
Alafu hiyo laki moja si ipo kwenye hela mnazopewa na Board ya mikopo, Inakuaje mwanafunzi ashindwe kuilipa tena??
 
[sugi]
si wakulima...!

Heshima haiuzwi mkuu,correlation ya hiyo thread na graduates wa SUA kuwa wakulima wapi na wapi bwana?
 
Sua nao wamezid upole,cjawah waskia hata cku 1 wameingia road.
 
[Senetor]Sua nao wamezid upole,cjawah waskia hata cku 1 wameingia road.

Usiwe short minded mkuu,ya SUA tunayajua sisi tulioko/tuliokuwa SUA bwana,tunajua tumeenda chuo kufanya nini suala la kuandamana bila logic sisi haipo au labda nyie kuandamana ni kozi ambayo ni compulsory kwa degree zenu zote na ipo katika prospectus?when things get worse tunajua namna ya kuipata FREEDOM SQUARE unaijua?uliza wanaoijua hata FFU hagusi mtu akiwa hapo,divide n rule system inatumika na ndo mana organization ya migomo inakuwa kazi as u know anayepata 100% mkopo hajui shida ya anayepata 20% au 40% utaanzaje kuwaunga? mawazo yasigande kwa kuwa uko mjini muwe na upeo wa kuona mbali,lini UDSM waligoma kwa ajili ya SUA,IFM,CBE,Mzumbe? "if u dont fight for your right no one else will"
 
SUA mnatuaibisha mbona wanafunzi wenu vilaza hivo.Hoja gani hii analeta hapa huyu msomi hewa wenu.Nwy aliingia kwa ki-memo nini huyu,muwaambie bana wasijichanganye kwa pupa na weledi.
 
Back
Top Bottom