johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,168
- 142,299
CCM inakwenda kupata mwenyekiti mpya wa taifa kufuatia mama Samia Suluhu Hassan kuwa Rais wa JMT.
Katibu mkuu atakuwa mpya
Katibu wa Itikadi na Uenezi atakuwa mpya.
Yawezekana hata makamu wa mwenyekiti bara na visiwani wakawa wapya
Mambo ni fire.
Maendeleo hayana vyama
Katibu mkuu atakuwa mpya
Katibu wa Itikadi na Uenezi atakuwa mpya.
Yawezekana hata makamu wa mwenyekiti bara na visiwani wakawa wapya
Mambo ni fire.
Maendeleo hayana vyama