Uongozi wa juu wa CCM unaenda kubadilika tutegemee maendeleo zaidi na zaidi!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,168
142,299
CCM inakwenda kupata mwenyekiti mpya wa taifa kufuatia mama Samia Suluhu Hassan kuwa Rais wa JMT.

Katibu mkuu atakuwa mpya

Katibu wa Itikadi na Uenezi atakuwa mpya.

Yawezekana hata makamu wa mwenyekiti bara na visiwani wakawa wapya

Mambo ni fire.

Maendeleo hayana vyama
 
Hivi Tanganyika kwanini haitaki kufanya serikali ya mseto kama kule visiwani Zanzibar? Hata mitaani kuna majirani wanatupa upinzani kwenye maisha yetu binafsi sasa itakuwaje kwenye serikali ya vyama vingi haitaki kushirikiana na wapinzani?. Anae kukosoa leo utamshukuru kesho atakae kusifia( Khamis Kigwagalla) leo atakutukana kesho.


Mbuzibee 🐐
 
Ccm hata ibadirike mara 1000 hata wabadirishe rangi,fikra zao ni zile zile,tusitegemee chochote Watz niwanong'oneze
 
CCM inakwenda kupata mwenyekiti mpya wa taifa kufuatia mama Samia Suluhu Hassan kuwa Rais wa JMT.

Katibu mkuu atakuwa mpya

Katibu wa Itikadi na Uenezi atakuwa mpya.

Yawezekana hata makamu wa Rais bara na visiwani wakawa wapya

Mambo ni fire.

Maendeleo hayana vyama
Umekunywa gongo ya kijani kibichi ? Makamu wa rais bara na visiwani ndio utumbo gani tena huko Lumumba?
 
1617638073878.jpeg

CCM inakwenda kupata mwenyekiti mpya wa taifa kufuatia mama Samia Suluhu Hassan kuwa Rais wa JMT.


Katibu mkuu atakuwa mpya

Katibu wa Itikadi na Uenezi atakuwa mpya.

Yawezekana hata makamu wa mwenyekiti bara na visiwani wakawa wapya

Mambo ni fire.

Maendeleo hayana vyama
 
CCM inakwenda kupata mwenyekiti mpya wa taifa kufuatia mama Samia Suluhu Hassan kuwa Rais wa JMT.

Katibu mkuu atakuwa mpya

Katibu wa Itikadi na Uenezi atakuwa mpya.

Yawezekana hata makamu wa mwenyekiti bara na visiwani wakawa wapya

Mambo ni fire.

Maendeleo hayana vyama
Safi sana, tunataka Katibu Mkuu aliyesoma Chuo Chetu cha YOHANA UNIVERSITY.
 
CCM inakwenda kupata mwenyekiti mpya wa taifa kufuatia mama Samia Suluhu Hassan kuwa Rais wa JMT.

Katibu mkuu atakuwa mpya

Katibu wa Itikadi na Uenezi atakuwa mpya.

Yawezekana hata makamu wa mwenyekiti bara na visiwani wakawa wapya

Mambo ni fire.

Maendeleo hayana vyama
Nice
 
CCM na safu mpya Mangula na Shein pia waomba kupumzika....kazi ipo nadhani Shein atakubaliwa ila sio Mangula .....avute vute kidogo ...labda Mkuchika aombwe awe Makamu Mwenyekiti hapo sawa sawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom