Uongozi UDOM watetea PhD za Mawaziri, na Wabunge

Chuo cha kata
Katika maendeleo ya Elimu ya Juu Tanzania tunajivunia vyuo vyetu venye mchango katika Taifa! Udsm , SUA , Mzumbe , UDOM , SJUT , SAUT nk.

Vyuo vyote hivyo vya binafsi au serikali vipo chini ya TCU...hoja kubwa ni wahitimu wanapikwaje huko katika masufuria yao? Entry Qualifications zikoje? Outcome ya wahitimu katika jamii ikoje nk
 
Kilicho nishangaza ni akili ndogo za huyo Prof. Vice Chancellor wa UDOM. Eti kama tuna taka kuona Thesis za Mawaziri twende UDOM!! Huyu ni Prof. au upumbavu!! Karne ya 21 watu mil 12 twende UDOM eti kusoma Thesis za akina PhD fake akina Dotto!! Vyuo vyote duniani. PhD Thesis za Graduates huwa published ONLINE ktk Website ya chuo husika. Iweje UDOM hawataki kuweka ktk Website ili hali website wanayo? Wanaficha nn?
Pili, level ya PhD mtu hawezi Publish paper 1 tu matakwa ni 2.
Tatu, kwa level ya PhD huwezi publish ktk local journal (MoCU) matakwa ni International Journal.

Hawa ma profesa wazee Wastafu tu. Memory zimeshuka sana.
 
Yaani hiki chuo ni zaidi ya jalala, ni bora serikali ikaki futilia mbali
 
UDOM jiangalieni sana, maana hicho chuo kimefanywa uchochoro wa wanasiasa wanaotafuta kuitwa dokta........si ni nyie hao hao mliojifanya makuwadi wa vyuo vya mitandaoni mkatoa PhD ya msukuma? acha kuleta porojo kwenye mambo ya msingi........TCU ni bora mkifanyie evaluation UDOM kama bado kinastahili ku enrol na kutoa undergraduate na graduate degrees kwa kuzingatia viwango vinavyokubalika kimataifa. Kama mnataka kiendelee kuwa chuo cha hapa tandale kwa mfuga mbwa basi puuzeni ushauri huu............​
 
Hili ndio jibu PhD lazima upublishi si chini ya publication mbili ili zipitiwe na wataalamu wengine kwenye Internation Journals. Hapa kwetu wanabebana tu ndio maana hata Prof. M. Mwandosya pia alihoji hili jambo
ila una uhakika hao waliofanikiwa hawajachapisha katika international journal?
 
Udom ni chuo cha kisiasa.

Hata wakiwapa PhD wabunge wote ni sawa tu.

Mi naiheshimu PhD ya Mwigullu Nchemba kutoka Makerere tu hao wengine tupa kule!
Una uhakika na hicho ulichoandika? Alienda lini huko Makerere wakati akiwa waziri wa mambo ya ndani akihangaika na sakata la Lugumya ndani ya jeshi la polisi?
 
Back
Top Bottom