Nilidhani ipo kwaajiri yetu kumbe ipo kwa ajili ya watu hata tusiowajua. Nilidhani kuwa Serikali in awamu lakini kumbe Kuna Serikali Permanent ( Deep State ) ambapo wote no vibaraka .
Hayaonekani kivipi wewe au wewe ni kifo cha mende tuu hupendi doggy style au mbuzi kagomaMimi niliamini mwanamke mwenye makalio makubwa ni 'mtamu'.......wakati katika shughuli husika huwa hata hayaonekani.🙂🙂
Ukiona mtu anayechukulia maisha ni poa kama Uncle wako muogope kama ukomaNikiwa masomoni Uncle alinambia ukimaliza tu chuo kuna kazi huku Mwanza nakutafutia ..utaanza na mshahara kidogo tu million 1 ila huko mbele watakufikiria.....
Baada ya kumaliza akanitafutia kazi kampuni ambayo hata haieleweki ilishaacha kufanya kazi walikua wauzaji wa sola na mshahara ni laki 1 na nusu.,te na hyo unalipwa ukifikia goli...
Leo mwaka wa 3 hajui hata nafanya shughuli gani ila ni bingwa wa kunipiga vizinga vya elfu 10 😅😅😅
😅😅Mimi niliaminishwa kuwa wachungaji wao huwa HAWANGONOKI kumbe looh! Ndo bingwa wa kungonoka tena na wake za watu japo sio wote[emoji118]
😅😅😅Kwamba Tanzania ni nchi pekee yenye amani, duniani.
...........Kama amevaa chupi hupendeza,akivua ni mtihani!😳😳doggy style au mbuzi kagoma
4.Cancer ni ugonjwa
Nilikuja kustuliwa kuwa kansa ni symptom.
Signo ( Tafsiri/ Ujumbe ) mbaya au protini kuwa mbaya. Gene zinapokea signal zincode protini inayotakiwa. Na Kama cell zote ni protin bhasi cell zinaundwa kutokana na signal ,mfano ukiwa na kidonda Autosignal inatoa taarifa regeneration ya ngozi inafanyika.
Tanzania kisiwa cha amani, mataifa yote duniani yanatamani kuwa na amani kama tuliyonayo Tz 😂Kwamba Tanzania ni nchi pekee yenye amani, duniani.
Huwa Najiuliza uyu mungu Alie kua kwenye VITABU walimwona wap nakosa jibu😂😂😂6. Dini Ni za Mungu kumbe Mungu Mwenyewe ahazitambui dini
Huwa Najiuliza uyu mungu Alie kua kwenye VITABU walimwona wap nakosa jibu😂😂😂
Wazee wa zamani walikuwa wanaabudu mizimu au mashetani, hivyo nishike dini zilizoletwa kwa meli na mijeredi, KMMae uloniaminisha hivyo