stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 6,386
- 3,495
Sasa kwa Nini tulidanganywa kwamba inamake profit na gawio juu. Hivi jpm asingekufa jamani hii nchi si ingekuwa kituko Cha Karne. Shida walimpa urais wakati Hana uwezo nao. Mama Samia angekuwa rais halafu yeye akawa makamu wake ili awe under control.
hio ni hoja tayar lakini pia waliolilia hizi ndege ni wapinzani wenyewe, walipiga kelele sana bungeni shirika likiwa na ndege moja sasa ndege zmekua za kutosha loss imetkea kelele nyingi