ndunajr
Senior Member
- Apr 28, 2015
- 174
- 191
Mheshimiwa Rais,
Mheshimiwa Kamanda Sirro,
Polisi wenu wananyanyasa kupita kiasi raia wa Tanzania,raia hawana amani na askari wao,traffick police ndio kilio majanga kupita kiasi mheshimiwa Rais sijui kama ndivyo jeshi la polisi lina maagizo haya.
Pengine minong'ono ya kusema kwa kila fine kutoka kwa dereva,traffick police nae anapata chochote kama bonus.
Hasira kwa wananchi zinaongeza barabarani pamekuwa sio mahala salama kuendesha magari,mataa ya barabarani yamechezewa hakuna taa NJANO kuwaka ni kijani ikiisha ghafla nyekundu askari mbele mkono hataimae fine,alama za zebra nyingi zimefutika ukisimama mahali askari anakuja anakuambia umekanyaga Zebra lete leseni hatimae cheti,ukipita lugalo njia panda ya kawe unakuata kwa komba kuna askari ashakumulika tochi anakuambia kuna kibao cha speed limit ya 50km eti nasikia huwa askari wanakigeuza kisionekane mwenyewe ninejaribu kuangalia kwa umakini sijakiona.
Askari nyinyi ni binafamu tu kama sisi roho zenu mbaya hizo endeleeni kutengeneza uadui na wananchi,kulikuwa na maaskari miaka flani ya nyuma maaskari wenye hekima na busara wanapima kiwango cha kosa tu wanaona hili ni la kumueleimisha tu mtu na kuonya.Kwa sasa hamna kuonya Shida.
Mwigulu Nchemba usitegemee siju moja kutakuwa na ule msaada wa wananchi kwa askari police sababu wanatengeneza chuki na uadui.Mimi hata askari aombe lifti asahau. Muogopeni Mungu enyi askari na sisi ni watu acheni kutunyanyasaaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mheshimiwa Kamanda Sirro,
Polisi wenu wananyanyasa kupita kiasi raia wa Tanzania,raia hawana amani na askari wao,traffick police ndio kilio majanga kupita kiasi mheshimiwa Rais sijui kama ndivyo jeshi la polisi lina maagizo haya.
Pengine minong'ono ya kusema kwa kila fine kutoka kwa dereva,traffick police nae anapata chochote kama bonus.
Hasira kwa wananchi zinaongeza barabarani pamekuwa sio mahala salama kuendesha magari,mataa ya barabarani yamechezewa hakuna taa NJANO kuwaka ni kijani ikiisha ghafla nyekundu askari mbele mkono hataimae fine,alama za zebra nyingi zimefutika ukisimama mahali askari anakuja anakuambia umekanyaga Zebra lete leseni hatimae cheti,ukipita lugalo njia panda ya kawe unakuata kwa komba kuna askari ashakumulika tochi anakuambia kuna kibao cha speed limit ya 50km eti nasikia huwa askari wanakigeuza kisionekane mwenyewe ninejaribu kuangalia kwa umakini sijakiona.
Askari nyinyi ni binafamu tu kama sisi roho zenu mbaya hizo endeleeni kutengeneza uadui na wananchi,kulikuwa na maaskari miaka flani ya nyuma maaskari wenye hekima na busara wanapima kiwango cha kosa tu wanaona hili ni la kumueleimisha tu mtu na kuonya.Kwa sasa hamna kuonya Shida.
Mwigulu Nchemba usitegemee siju moja kutakuwa na ule msaada wa wananchi kwa askari police sababu wanatengeneza chuki na uadui.Mimi hata askari aombe lifti asahau. Muogopeni Mungu enyi askari na sisi ni watu acheni kutunyanyasaaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app