Nimesomo Mara nyingi melezo ya necta lakni Bado naona sababu zao za kutotangaza top ten ya watahiniwa na shule Haina mashiko kabisa.
1. Kama wanaamini mazingra ni tofauti bac wayaboreshe.
2. Kwani shule wanafanya biashara au huduma. Necta wanadai kuwa wamekuwa wakitangaza biashara za watu.
3. Private wanafanya vizr kwa kuwa wanapick wanafunzi Bora kabisa hapa Tanzania.
4. Wanafunzi wasiojua kusoma wanajiunga na shule za serikali .hapa watashindana vipi na wale wa private.
1. Kama wanaamini mazingra ni tofauti bac wayaboreshe.
2. Kwani shule wanafanya biashara au huduma. Necta wanadai kuwa wamekuwa wakitangaza biashara za watu.
3. Private wanafanya vizr kwa kuwa wanapick wanafunzi Bora kabisa hapa Tanzania.
4. Wanafunzi wasiojua kusoma wanajiunga na shule za serikali .hapa watashindana vipi na wale wa private.