Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,352
hehehehe...tutegemee mwingine lini Mrs?
ndio nilikuwa nataka tuongee kuhusu kuufunga game sasa, tuendelee kula bata tu, wako wa ujanani na wetu 2, so ni watatu wanatutosha nahic....au unasemaje mr wangu?