Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
Nilionja siku moja katika sarakasi nikajikuta nayaonja.......mhh yana radha sio nzuri na nilijisikia kichefuchefu kidogo nitapike......nilikoma
Wakina mama wakishajifungua kwanza huwa wanakuwa hawana aibu kutoa nyoyo hadharani haina noma hata ukilishika hawashituki tofauti na wale zilizochongoka
...unaona sasa...
...ndio maana ukaambiwa 'chakula cha mtoto' mpaka pale ulipoachishwa, umri wa miaka miwili na ushee hivi. Majority enzi za utoto tulikuwa tunalilia na kung'ang'ania hilo hilo titi tamu la mama bila kujali yeyote, tena mahali popote bila wasiwasi wowote.
Ni vizuri mwanamke kujistiri kwasababu kuna wanaume wengine wana ule ugonjwa wa 'mfadhaiko' ~pervets
!