Wakuu nawasalimu. Msaada jaman, kuna hz staili za kunyoa vijana wa cku hzi utakuta mtu kanyoa fresh lakini anatengeneza kitu kama mstar either hapa mbele ya utosi ama pemben kwa mbele. Je hii inaashiria chochote au ni urembo tu?
hiyo inaamaanisha ni bonde la ufa(rift valley),wanajeolojia wanashauri ukae mbali na mtu kama huyu kwani kwenye rift valley kuna specie wa hatari kama simba,chui,swala, wote wapo huko,kwa hiyo watu wenye rift valley ni nyara za serikali usiseme ukuambiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.