Unyenyekevu kwenye ndoa

Unyenyekevu kwenye ndoa

Umetema madini sana, mwenye kuelewa atanufaika nayo. Tatizo kubwa ni kuwa wanawake wa siku hizi ni pasua vvichwa; viburi, majigambo na ubabe pasipo kutumia akili ndo vimewajaa at the end wanajikuta wameachika, kiburi cha kujifanya wana uwezo wa kulea watoto kinaendelea. Baadae anaona kulea hao watoto ni mzigo hauwezi pale anapohitaji na kujaribu kuolewa kwingine tena...yaani ni ukorofi ukorofi tu mwisho wa siku aibu tupu.
 
Usitake watu wajute kuumbwa wanawake...
Maisha ni kuchagua...
Kama umechagua kuishi atakavyo yeye...sawa ... ila usifanye hiyo kuwa ni kanuni kwa wanawake wote...
wako wanawake wenye maamuzi yao na bado wanaishi na waume zao happily ever after...
Maisha hayajirudii...hadi uishi maisha yako yote ukimfuraihsa fulani....
 
Hata wanaume wapo wanaonyenyekea...si lazima jinsia ya kike tu ijinyenyekeze...
Ukiwa na ka ukorofi tafuta partner mnyenyekevu...utaona dhana nzima ya 'hadi kifo ...'
Ila mkutane wote much know...hakuna ndoa...
Kwa hiyo kuishi kwa furaha ni compatibility ya personalities bhaas....hata wanaume wanaojishusha wapo...si formula lakini...
ni kujua kuchagua tu bhaas
 
Myself, I only need a deputy who's loyal. Not a butt kisser, not a yes woman. I go outta line, straight me up how you post to.
Yeees...maana huyo atawafundisha hata watoto wako kujiamini...
Kupambana wakiona wanaonewa...
Maana watoto wanapata tabia toka kwenye mazingira waliyokulia...
Na mama ndie anayekaa na mtoto muda mrefu...

Utajisifia nina mke mnyenyekevu kumbe ni mnyenyekevu hadi kwa bosi wake..si tunawaona....
 
Sio kwamba tunashindwa kutoa like ila kinachoshindikana ni kwamba wanaume walio wengi wanashindwa kutimiza majukumu yao kama wanaume, hebu timiza majukumu yako uone kama sijanyenyekea mpaka ushangae

hebu nione kama malkia, sio saa zote kunifokeafokea ntanyenyekea saa ngapi ?
tatizo ni lenu wanaume.
Mkuu umesema ukweli ila kuna wanawake hata ungetimiza majukumu bado hata asante hatoi
 
Wapo wanawake wanaojinyenyekesha mwisho wa siku waume zao hawaoni thamani wala kuwajali...katika ndoa wote mnatakiwa kuelewana na kurekebishana sio swala la utumwa na ubwana. Unaweza kuwa mnyenyekevu ukapata pasua kichwa unakufa kwa sukari na presha
 
Hiii kitu ni ya kukopii...ilianzia kwa chris mauki km sikosei....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Yaap ingawa nimemsikia yule rose wa tuongee mahusiano nikaipenda[emoji4][emoji4][emoji4]
 
Usitake watu wajute kuumbwa wanawake...
Maisha ni kuchagua...
Kama umechagua kuishi atakavyo yeye...sawa ... ila usifanye hiyo kuwa ni kanuni kwa wanawake wote...
wako wanawake wenye maamuzi yao na bado wanaishi na waume zao happily ever after...
Maisha hayajirudii...hadi uishi maisha yako yote ukimfuraihsa fulani....
Sio kanuni maana sio sheria kusema mtu ashurutishwe aifuate, wapi umeona kuwa unatakiwa useme yes kwa kila kitu utachoambiwa na mumeo....?
 
hata neno la Mungu linasema mke amtii mumewe na mume ampende mkewe. Hivyo mke lazima amtii na kumnyenyekea mume wake, hiyo ndiyo kanuni ya ndoa Mungu aliyoweka.
 

Huyo anaemnyenyekea hadi boss kipo anachokitaka, muheshim kama boss wako....kama mfanyakazi mwenzie....
 
Yaap ingawa nimemsikia yule rose wa tuongee mahusiano nikaipenda[emoji4][emoji4][emoji4]
Rose shoboka anaitwa...sijui km naye anafanya haya au ni kuvutia watu tu waende kwenye semina zake[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Rose shoboka anaitwa...sijui km naye anafanya haya au ni kuvutia watu tu waende kwenye semina zake[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Mbona anafanya muda kuna mwanamke alikua anamshukuru kwa kuokoa mahusiano yake ndiyo kwenye kujua alipata ushauri gani ndiyo akaongelea hiyo, maana bidada ilikua mashindano ndani ya nyumba mwanaume akikaa bar na yeye kesho analipiza yaaan alikua anaenda pasu kwa pasu na mumewe
 
Rose shoboka anaitwa...sijui km naye anafanya haya au ni kuvutia watu tu waende kwenye semina zake[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Hivi huwa anaitwa rose shoboka???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii a.k.a yake imenichekesha ntamuuliza mdogo ake.
 
wanawake wote wangekuwa kama ww ndoa zinazovunjika zingekuwa 0.00000000000000000001%
 
Hayo ni rahisi mnooo kuyafanya kwa MWANAUME, hivi naanzaje kumgombeza,kumdharau au kumfanyia kiburi MWANAUME!!!
Yaani ni kumtii na kumnyeyekea as tuliagizwa utii.

Sasa hadi likurubembe litataka hayo!!
 
Naona likes wanatoa wanaume peke yake
Kwamba wanawake hawajaona hii mada? Au ndo imewagusa na hamtaki kuikubali maana saivi mpo kwenye mchakato wa haki sawa?

Mwanamke akae kwenye nafasi yake na mwanaume kwenye nafasi yake
Unakuta mwanamke anataka kujifanya kichwa cha familia kudadeki ingekua unatak usawa siungepeleka mahari kwetu namimi nipeleke kwenu kwani wazazi wangu hawakunizaa kama wewe ulivyozaliwa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wanawake msipingane na nature mtazeekea kwenu trust me
Ukiona mwanamke anataka kuwa kichwa, basi tambua kuna mahali umelega mkuu, mkeo ni image yako.
Be a MAN, nae ataendelea kuwa mwanamke tu.
 
Back
Top Bottom