Brown ad
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 345
- 204
Habari wana jf!
Kiukweli nasikitishwa na unyanyasaji unaoendelea katika haya makampuni ya wageni kiukweli inasikitisha.
Yaani vibarua wanalipwa kwa siku tsh 3100-4000 kwa siku na bado serikali yate haiangalii ili swala!
Watanzania wenzetu wanateseka sana kwa huu upunjo wa malipo uanofanywa na hawa wawekezaji.
Nawasilisha!
Kiukweli nasikitishwa na unyanyasaji unaoendelea katika haya makampuni ya wageni kiukweli inasikitisha.
Yaani vibarua wanalipwa kwa siku tsh 3100-4000 kwa siku na bado serikali yate haiangalii ili swala!
Watanzania wenzetu wanateseka sana kwa huu upunjo wa malipo uanofanywa na hawa wawekezaji.
Nawasilisha!