kedekede
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 5,335
- 7,745
ukuta usio kuwa na saruji maana el aliweka hela mfukoni mwake!
ukuta usio kuwa na saruji maana el aliweka hela mfukoni mwake!
Hivi bado unaamini hiyo miguu ni yangu?Ingekuwa yangu nadhani Tanzania wangekuwa wameishanijua mie mwenyewe naitamani yani miguu milainiiii....Hakuna shida na taabu ambayo mwanaume anaweza kuipata kama kuwa na shemeji mwenye miguu mizuri kama wewe,siji ng'oo kwa sababu siyo kwa miguu hiyo,unataka nizimie??![]()

hahaha! hiyo ni bangi, sigara, au ile kitu ya Cuba? naona wameichomeka ukutani!
Ok,kama ni hivyo sasa amani itatawala na nitakuja!Hivi bado unaamini hiyo miguu ni yangu?Ingekuwa yangu nadhani Tanzania wangekuwa wameishanijua mie mwenyewe naitamani yani miguu milainiiii....![]()

Wewe njoo tu ukutane na chelewa au spoke za baisikeli.....Ok,kama ni hivyo sasa amani itatawala na nitakuja!![]()
As long as you are humble to this extent i can't deny JF!.....and for your humbleness you always keep me here(JF), i thanks God i found you!Wewe njoo tu ukutane na chelewa au spoke za baisikeli.....
Shemeji kula kaka yako hayupoMimi msima kabisa,hofu na mashaka ni kwako wewe ulie mbali na upeo wa macho yangu my shem!
Shemeji kula kaka yako hayupo
!!......Una utani na shem wangu mkuu!![]()
![]()
![]()
!!......Una utani na shem wangu mkuu!

Hivi bado unaamini hiyo miguu ni yangu?Ingekuwa yangu nadhani Tanzania wangekuwa wameishanijua mie mwenyewe naitamani yani miguu milainiiii....![]()
Sikuona hiyo comment kumbe shem wangu unakata yai eeeh?As long as you are humble to this extent i can't deny JF!.....and for your humbleness you always keep me here(JF), i thanks God i found you!
Hata zikifurika huwa sina time nazo ila ukweli ndio huoBado hujanishawishi kuto kuamini kama so yako, Honey Faith au unaogopa pm kufurika