UNONA NINI??

UNONA NINI??

Hakuna shida na taabu ambayo mwanaume anaweza kuipata kama kuwa na shemeji mwenye miguu mizuri kama wewe,siji ng'oo kwa sababu siyo kwa miguu hiyo,unataka nizimie??
Hivi bado unaamini hiyo miguu ni yangu?Ingekuwa yangu nadhani Tanzania wangekuwa wameishanijua mie mwenyewe naitamani yani miguu milainiiii....
 
Naona jnc gan wana jf wasivyo na hiyana wanachat beyond the limit hakuna hasira wala vta.. big up great thinkers
 
Back
Top Bottom