Hirizi
Mkuu naogopa kuitwa mchochezi
Thikamooo kakaHirizi

Thikamooo kaka
Upendapo kujua hali yangu mie mdhima ila hirisiii umeionaje![]()

Semeji yangu msima wewe?Namuona Moderator wa JF!
Mimi msima kabisa,hofu na mashaka ni kwako wewe ulie mbali na upeo wa macho yangu my shem!Semeji yangu msima wewe?
Kama kuna kichwa cha nyoka kinachungulia nje kutoka ndani kwenye upenyo!!

Plies respect to wich ather!!!
Si uje home unione au umbali gani huo ambao haufikiki??Mimi msima kabisa,hofu na mashaka ni kwako wewe ulie mbali na upeo wa macho yangu my shem!
Hakuna shida na taabu ambayo mwanaume anaweza kuipata kama kuwa na shemeji mwenye miguu mizuri kama wewe,siji ng'oo kwa sababu siyo kwa miguu hiyo,unataka nizimie??Si uje home unione au umbali gani huo ambao haufikiki??
