Unmarried and over 30 looking for "mr right"

Umeumia sana! Maneno mengi hayavunji mfupa. Wewe ndio unaejijua vyema. Utatamba kuuzidi hata ukoo wangu wote pesa, ila haisaidii. Kama una pesa kweli hungekuwa na maumivu kuja kujimwaga hapa kwa JF kuyatuliza walau kidogo baada ya kuachwa
.
Ni vyema ukatafuta pesa mkuu, hautaambiwa tena hayo mambo ya Mr Right, kweli nakuambia.
 
Pale tunapopangia wengine namna ya kuishi, matokeo yake ndio kama hivi. Let them be mkuu, si wao ndio waliamua hivyo, basi acha wavune walichopanda, if at all that makes any difference.
 
Ngumu kumeza hiyoo
 
Hakika na hua wanajifunza somo muda ukiwa umewapa kisogo.
Ni kweli mkuu, wengi wanatia huruma yaani wamepoteza matumaini, wanaamua kuwa single mothers. Na ukishakuwa single mother matatizo yanakuwa compounded. Muda ni mwalimu mbaya sana. Kiburi na ujanja wote mfukoni.
 

Sijaelewa point yako hapa hasa ninini ila ninaekuona ukiteseka ni wewe,so kwa akili zako kinachomfanya mwanaume aachwe ni kuwa maskini tu hakuna kingine?kwako wewe maisha ni pesa mapenzi ni pesa siyo!

Sijui umri wako but ushauri wangu rudi post #1 soma tena mstari kwa mstari neno kwa neno utamshukuru mleta mada baadae.
 


Nimemaliza kusoma what I was quoted, nikajiuliza.... hivi nilishawahi kuweka uzi wa kutafuta mwanaume humu..!! Maana uzee huu kumbukumbu si rafiki sikumbuki hata.

Well I love men na ntaendelea kuwa rafiki yao and nothing else.

Think 🤔 like a man 👨 Act like a woman 👩

Matata the K.
 
Usilie wew ulie achwaaa

Mume wa walio single yuko juu anaona.
Mume wa walio achika kwenye ndoa yupo juu anaona, atajibu kwa wakati wake.
Ivi unaweza kuomba mume mwema, ukapata mume wa mtu???? Au litakua jaribu?? Au ndo kupokea tulichoomba???
 
Nimemuelewa sana mtoa post. Kitu cha muhimu kwenye ndoa ni mtu kuchukuana na mtu wanao fanana tabia na focus za maisha, na sio kuwahi kuolewa.
Mungu kaumba diverses, kama mwanaume mwingine anataka mwanamke mdogo sana, kuna mwingine anataka mwanamke mkubwa.
Waacheni wanawake waolewe pale wanapokuwa tayari na wanapokutana na wanao fanana nao. Kukimbia kimbia eti umri ni ujinga.
Huyo mtoa post either atakuwa kaachwa or atakuwa kaoa mwanamke asiempenda, sasa anaona yule anaempenda yuko 30's haolewi anajaribu kuponda ponda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…