Samsung Prevail (CDMA network type) nitawezaje kuitumia hapa Tanzania?

Samsung Prevail (CDMA network type) nitawezaje kuitumia hapa Tanzania?

Prince Nadheem

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2012
Posts
1,269
Reaction score
1,107
Habari ma-GT wote wa jukwaa hili pendwa?

Hope mko safi, ipo hivi: kuna simu nimeletewa from US aina ya Samsung Prevail ya virgin. Sasa katika kutaka kuweka line nikaona haina sehemu ya line. nimegoogle nikaona kumbe hii simu ni CDMA (haibebi line kama modem za Zantel) na sio GSM kama tuliyozoea.

Hii simu imetumika US, sasa swali langu ni kuwa hii simu inaweza tumika kibongo bongo let say nikaiflash then nikaenda kama airtel kwaajili ya kuisajili na kuipa namba au ndio imekuwa kopo?
Tafadhali naomba michango yenu wadau
 
cdma ni zantel na ttcl ila kama haina sehemu ya line kabisa ni asilimia ndogo kukubali.

hebu jaribu kufanya hivi, nenda setting then kwenye wireless na network then mobile network kama ipo click search network kama utadaka kitu. ukipata network atleast kuna hopes.
 
nimecheki specs zake inatumia cdma2000 ix ambayo ndio hio hio inayotumiwa na ttcl na zantel
 
So inaezaunganishwa na hizi local networks zetu mkuu kama nitaipeleka? CHIEF MKWAWA
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom