Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,479
Wadau, kuna jamaa alinambia kuwa amesikia kuna chuo kikuu huko kenya kinaitwa University of kilimanjaro, hivi mambo ya folklore hapa vipi? wadau wa utalii na maliasili wa tz wanafanya nini kama ni kweli?
vilevile, jana wakati naangalia star tv, nikaona wanatangaza mchezo mmoja hivi wa kikenya, wame act wakijumuish akuwa wao ni wanafunzi wa chuo kikuu cha kilimanjaro...yaani jina la kilimanjaro linatumiwa na hawalipiii, wana mpango gani na kilimanjaro yetu, je, nijuavyo mimi ni marufuku kwao kufanya hivyo hadi wapate ruhusa yetu na mara nyingi wanatakiwa kulipia katika sheria za haki miliki....kuna mwenye update yeyote? ni sawa kwa star tv kuendelea kuonyesha mchezo wa kikenya ambao wakenya wamefaidika na kilimanjaro wakati si yao na hawajawa consult tz? hapa pamekaaje jamani?
vilevile, jana wakati naangalia star tv, nikaona wanatangaza mchezo mmoja hivi wa kikenya, wame act wakijumuish akuwa wao ni wanafunzi wa chuo kikuu cha kilimanjaro...yaani jina la kilimanjaro linatumiwa na hawalipiii, wana mpango gani na kilimanjaro yetu, je, nijuavyo mimi ni marufuku kwao kufanya hivyo hadi wapate ruhusa yetu na mara nyingi wanatakiwa kulipia katika sheria za haki miliki....kuna mwenye update yeyote? ni sawa kwa star tv kuendelea kuonyesha mchezo wa kikenya ambao wakenya wamefaidika na kilimanjaro wakati si yao na hawajawa consult tz? hapa pamekaaje jamani?