Josh Michael
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,523
- 91
Hiki ndicho kitu pekee ambacho nitamsifu JK hadi kufa kwangu.
Kaongelee pumba zako Bagamoyo.
Hiki ndicho kitu pekee ambacho nitamsifu JK hadi kufa kwangu.
Hiki ndicho kitu pekee ambacho nitamsifu JK hadi kufa kwangu.
Kaongelee pumba zako Bagamoyo.
Utakuwa na upungufu wa akili kama utashindwa kuappreciate hilo.,Kikwete ana mapungufu yake lakini kwa hili la kuchukua initiative ya kuanzisha chuo hiki ni lazima tumpe sifa zake, tusiwe wanafiki na wachoyo wa fadhila kiasi hiki,jiulize zaidi ya Nyerere mbona hakuna rais mwingine alieanzisha chuo kikuu tena from the ground zaidi ya kikwete., sio mwanachama wa CCM wala shabiki wa JK lakini hilo halinifanyi nishindwe kusema kuwa hiyo ni ahadi pekee ya JK iliyotimia.