Usijitie ujinga,kumshukuru mtu mmoja,huo mkopo ni Kodi ya baba yako.Hodi hodi dasilam npokeen hapo panapoitwaga ubungo stand ili nielekee chuo kikuu cha taifa hakika mungu mkubwa sasa nakuja kuiona dasilam aisee kusoma kumbe raha cjawah kusafiri nje ya mkoa Wa iringa namshukur mungu na mkopo juu nmepata.
Ahsante rais Wa wanyonge mh prof john pombe magufuli kwa kuelekeza mikopo kwa watoto Wa Wa wakulima.
Ccm hoyeeeeeeeeeeeee nitakuchagua tena magufuli babaaa
Na wewe ukiwa na shida ukitozwa pesa si utakuwa sawa acha kuendeza pesa kama unaweza kumsaidia msaidie kama huwezi we pita tu na kasi ya 4G!Una shngap hata kesho nkupatie
SawaNa wewe ukiwa na shida ukitozwa pesa si utakuwa sawa acha kuendeza pesa kama unaweza kumsaidia msaidie kama huwezi we pita tu na kasi ya 4G!
Unaweza but math imezingua sanaWakuu nmetoka Ordinary level na Pass zifuatazo
Mathematics "F"
Physics "B"
Geography "B"
Language "C"
History "B"
Je naweza kuanza Diploma moja kwa moja ? Kwamaana ctak kwenda Advance na sitaki kusoma faculty za sanaa ,nisaidien
sasa baba si kwa mwanao.au kisa unaona una mtoto basi ni baba wa dunia nzima?
Sasa kama enzi zenu earphones hazikuepo mngevaa nini masikioni?Udsm enzi zile ilikuwa kunji kunji kweli....sio hiki kizazi cha earphone masikion na wanyoa viduku
Mkuu samahani ,mwisho lini kusain mana taarifa nilikua sinaUdsm Wale Ambao Hawajasaini Ada, Tazama Jina lako Hapa!
Mnakumbushwa Kusaini leo. Ukizingatia Matokeo ya Aris yanakaribia Kutoka!
Nadhani this weekMkuu samahani ,mwisho lini kusain mana taarifa nilikua sina