Chwekamu
JF-Expert Member
- Nov 1, 2017
- 507
- 491
Usijitie ujinga,kumshukuru mtu mmoja,huo mkopo ni Kodi ya baba yako.Hodi hodi dasilam npokeen hapo panapoitwaga ubungo stand ili nielekee chuo kikuu cha taifa hakika mungu mkubwa sasa nakuja kuiona dasilam aisee kusoma kumbe raha cjawah kusafiri nje ya mkoa Wa iringa namshukur mungu na mkopo juu nmepata.
Ahsante rais Wa wanyonge mh prof john pombe magufuli kwa kuelekeza mikopo kwa watoto Wa Wa wakulima.
Ccm hoyeeeeeeeeeeeee nitakuchagua tena magufuli babaaa