mandela2
Senior Member
- Oct 3, 2017
- 100
- 31
Ndio naikumbukaUnakumbuka email adress uliyoitumia wakati wa application?
Ndio naikumbukaUnakumbuka email adress uliyoitumia wakati wa application?
Wenye III kuna waliopata Chuo Kikuu kweli,hasa SUA,UDSM,ARDHI maana naona Ndugu yangu kote kachezea nyundo na mimi ndiyo nilimfanyia Application wakati akiwa Jeshini kwa Mujibu.Ni majanga kwa kweli.Ushauri wenu tafadhali au awahi tuu diploma maana Degree imekwama
Reset pasword.Ndio naikumbuka
AsanteeeeeeeReset pasword.
Chini ya sehemu ya kuweka pasword kuna sehemu imeandikwa (if you forgot pasword reset here). Click hapo kwenye maneno yaliyoandikwa (reset here). Kisha fata process.
Shukrani kwa Bwana.Asanteeeeeee
Sorry mkuu! Kama nimekukera, yale yalikuwa maoni yangu tuSasa wee dogo ndio kwanza unategemewa kuanza first year ila dharau kibao utadhani ni continuing student,au unadhani ukiingia hiyo first year yako utaheshimika mtaani kwenu kuwa wewe ni first year wa UDSM?
NIT TAYARI
Pa1 mkuu!!Mɓna ameshamshukuru mola waƙe taƴari ...*soma thread ƴake vizuri hapo mwisho amesema thanks god
Surehumu watu wengine wako kwa nia ya kuvunja wenzao moyo........ as if wao wako sehemu salama,,, sio lazima uandike unajojiskia....... pia kila unachokiandika jaribu kukipima tambua kuwa kuna watu wengi ambao hawajachaguliwa mpaka saa hivi, wengine wamevunjika moyo hadi sasa, sio ishu za kuropoka kisa umechaguliwa na chuo flani flani, not fair kabisa
Msomi hawezi toa maoni kama yale,ikizingatiwa zaidi kwamba wewe katika kundi la wasomi ndio unatarajia kuingia tena first year tu na bado hujaanza.Siku ukiwa mwaka wa tatu si utawadharau wote ambao hawajasoma na kufika chuo? Yani hapo hata mwaka wa kwanza hujaanza ila unawadharau wenzako wa vyuo vingine ambao ni wasomi wenzako,sasa huko mtaani unaishi vipi na watu ambao hawajasoma kabisa?Sorry mkuu! Kama nimekukera, yale yalikuwa maoni yangu tu
Ok,poa nasikia kuna kuomba tenaAsubiri second sel maana mwaka huu nafasi nyingi kwenye vyuo unakuta imechukuliwa na mtu mmoja kutokana na hizo multiple selections. Nadhan watu wakishaconfirm vyuo vyao nafasi zitakuwepo tu japo ushindan utakua mkubwa maana wengi wamekosa