Wervemarcel
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 2,390
- 3,293
Habarini Wakuu Wote!
Huu Ni Uzi Nilioanzisha Mwaka Jana Kuwasaidia Wanachuo Watarajiwa Kufahamu Kiundani Kuhusu Udahili Vyuoni,
Nikiri Huu Uzi Uliwasaidia Sana Wahitimu Wa Kidato Cha Sita Ambao Ni Mwaka Wa Pili Watarajiwa.
Hivyo Nimeona Ni Jambo La Busara Kuurudisha Upya Kwa Manufaa Ya Intake Ya Huu Mwaka.
Wale Wa Kusubiri Matokeo Ya Udahili Vyuoni ( University Admissions),
Kaka Yenu Nipo Hapa Kwaajili Ya Kuwaletea Yanayojiri Na Yatakayojiri Kupitia Huu Uzi.
Karibuni Kwa Maswali, Hoja, Dukuduku, Ombi, Oni, Na Mengineyo Sawia Na Hayo.
Ahsante Na Mnakaribishwa Wote.
PS : Matokeo Ya Udahili Vyuoni Ya Mwaka Jana Yamefutwa Kwenye Post Ya Kwanza Kuruhusu Matokeo Mapya , Pia Kuondoa Mkanganyiko Na Usumbufu.
Updates ==========!
Huu Ni Uzi Nilioanzisha Mwaka Jana Kuwasaidia Wanachuo Watarajiwa Kufahamu Kiundani Kuhusu Udahili Vyuoni,
Nikiri Huu Uzi Uliwasaidia Sana Wahitimu Wa Kidato Cha Sita Ambao Ni Mwaka Wa Pili Watarajiwa.
Hivyo Nimeona Ni Jambo La Busara Kuurudisha Upya Kwa Manufaa Ya Intake Ya Huu Mwaka.
Wale Wa Kusubiri Matokeo Ya Udahili Vyuoni ( University Admissions),
Kaka Yenu Nipo Hapa Kwaajili Ya Kuwaletea Yanayojiri Na Yatakayojiri Kupitia Huu Uzi.
Karibuni Kwa Maswali, Hoja, Dukuduku, Ombi, Oni, Na Mengineyo Sawia Na Hayo.
Ahsante Na Mnakaribishwa Wote.
PS : Matokeo Ya Udahili Vyuoni Ya Mwaka Jana Yamefutwa Kwenye Post Ya Kwanza Kuruhusu Matokeo Mapya , Pia Kuondoa Mkanganyiko Na Usumbufu.
Updates ==========!