BENNICK
JF-Expert Member
- May 2, 2013
- 633
- 864
Unatokea, ila itaandikwa multiple admission.Oya ukichaguliwa chuo zaid ya kimoja ... Hautokei kwenye list zao si ndio??
Unatokea, ila itaandikwa multiple admission.Oya ukichaguliwa chuo zaid ya kimoja ... Hautokei kwenye list zao si ndio??
Mm mwenyewe sijatumiwa code sijajua tatizo nn na nimesha request rayari kwenye accountSijatumiwa code TIA na kwenye simu siwapati msaada
Kwa mzumbe University wamefanya hivo, ila njia rahisi ya kujua kama una multiple Admission ni kuchek ile list iliyotolewa na TCUUnatokea, ila itaandikwa multiple admission.
Unatokea, ila itaandikwa multiple admission.
Hakuna kulipa tena mkuuKama alikosa round 1, kufanya udahili kwa mara ya pili inabidi alipie upya.
Mm mwenyewe sijatumiwa code sijajua tatizo nn na nimesha request rayari kwenye account
Ni kweli vyuo vingi majina wanayotoa ni wale wasio na multiple admission. Kuna mdau ni admission officer chuo fulani anadai hizo confirmation codes yaweza kuchukua several days ila ni kabla ya second round application kufungwaSasa mbona dogo amechaguliwa vyuo vi4 alafu kwenye ile list ya tcu aliandikwa multiple selection lakini kwenye vyuo vyoote ivyo list zao hayumo kabisa... Kama udom wameandika kabisa ni list ya wasiochaguliwa mara mbili... Vyuo vingine sielew elew.
Sema furesh ... Vipi number zao uthibitisho kuverify utaenda chuo gan huwa zinachukua muda kidog ama?
KeshoSecond round lini wadau??
Bro vp upo NITKaribu NIT brother
Vp admission letter mbona hazpo kwa mtandao na sku ya kutinga chuooni haijaoneshwaKama umechaguliwa NIT niulize chochote, pia Kama ntahitaji hostel mbali na zile za chuo, nicheki PM ntakusaidia hostel moja bomba Sana.....ili usiende kusumbuka na madalali pale town!!!!
Tupo mkao wa kula.Mnao- Apply Vyuo pitieni hapa.