University Admission Results 2020

Kaka acha masihara ukikosa ndo wanakwambia ivyo mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Sure.That's their language [emoji23][emoji23] ngoja tusubiri hiyo batch ya pili tu
 
Sure.That's their language [emoji23][emoji23] ngoja tusubiri hiyo batch ya pili tu
Na ww mkuu wamekuandikia ivyo dah life is not fair kwa kweli[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
AFIKE CHUO MKOPO UTAHAMISHWA
 
Na ww mkuu wamekuandikia ivyo dah life is not fair kwa kweli[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Kuna jamaa yangu tumemaliza wote, tena yeye na O level pia kasoma private plus haendi kozi ya afya... Lakini wamempa! Sijui wanaangalia nini yani
 
Kuna jamaa yangu tumemaliza wote, tena yeye na O level pia kasoma private plus haendi kozi ya afya... Lakini wamempa! Sijui wanaangalia nini yani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]yaani mi najisemea wakimaliza kufanya analysis yao wananipa kumbe dah MUNGU ATUSIMAMIE KATIKA BATCH YA PILI maana ndoto za kwenda chuo zinakatakata
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]yaani mi najisemea wakimaliza kufanya analysis yao wananipa kumbe dah MUNGU ATUSIMAMIE KATIKA BATCH YA PILI maana ndoto za kwenda chuo zinakatakata
Ameen[emoji120][emoji120]
 
mimi wamenitema round zote 3, nilisoma clinical medicine nikaomba MD na Course zinginezo ila wapi
 
Wakuu hivi Hiyo hela ya field huwa inaingizwa kwenye chuo husika ama inakuaje kuaje na niwakat gan huwa inaingizwa
inaingia kweny account ya mwanafunzi utawekewa kipind unacho enda field
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…